Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Zidane alikosea kukubali Navas aondoke na kubakisha hili jitu
Sio Zidane alikosea, ila Management ndio ilikosea kumsajili Courtios na wakati huo huo wamemsajili long replacement ya Navas in Adry Lunin. Ninadhan ilikuwa busara kumwacha Navas aendelee kuwa golini huku tukmpika Lunin achukue mikoba yake ila tukaenda kusajili golikipa ambaye anakaribiana uwezo na Navas., matokeo yake zikaanza zile debate kama kipnd tumemnunua Navas wakati huo huo Iker Casillas alikuwepo., so kuondoka kwa Navas kwangu niliona ni sahihi baada ya kuona hatopata muda wa kucheza game nyingi, na Zidane hakuwa tayari kuulizwa swali hilo hilo kila siku kuwa ni golikipa yupi anatakiwa kuanza!!
Hata hivyo kwa siku za karibuni Courtios amerudi kwenye kiwango chake, anajiamini kwasasa , amefungwa game mbili mfulilizo kutokana na makosa ya beki yetu..
 
Vyote hivyo ni visingizio, wachambuzi wengi wanasubiri kuona Zidane atafanya nini bila Ronaldo, sababu wanaamini kuwa team ndio iliyokuwa inambeba na sio uwezo wake. Kwahiyo Zidane ana kazi ya kuthihirisha kuwa ni kocha bora na sio kwamba ana bebwa na team.

Je Ronaldo nae anafanya nini?
 
Real Madrid ilikuwepo kabla ya Ronaldo na itakuwepo baada ya Ronaldo
Vyote hivyo ni visingizio, wachambuzi wengi wanasubiri kuona Zidane atafanya nini bila Ronaldo, sababu wanaamini kuwa team ndio iliyokuwa inambeba na sio uwezo wake. Kwahiyo Zidane ana kazi ya kuthihirisha kuwa ni kocha bora na sio kwamba ana bebwa na team.
 
EKnZ2tCWoAAL2dS
 
Back
Top Bottom