Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Nampenda rodrygo maana anajua nini kimemleta ulaya ,kijana mdogo ambae anatamani kufika mbali. Zidane anakwambia rodrygo ni mzuri sababu anacheza kwa nafasi na mzuri kukaba
 
Nampenda rodrygo maana anajua nini kimemleta ulaya ,kijana mdogo ambae anatamani kufika mbali. Zidane anakwambia rodrygo ni mzuri sababu anacheza kwa nafasi na mzuri kukaba
Kijana yupo vizuri sana kiukweli, ni mtulivu akiwa na mpira na anajua afanye nini anapopata mpira, yaani anavyocheza utadhani alikuwa Madrid kwa kipndi kirefu. Ni matumaini yangu ataendelea na form hii kwa muda mrefu, Ana sehemu moja tu ya kufanyia kazi nayo ni upande wa physical fitness, hapo akisimama vyema basi atakuwa amepiga hatua kubwa sana
 
Kijana yupo vizuri sana kiukweli, ni mtulivu akiwa na mpira na anajua afanye nini anapopata mpira, yaani anavyocheza utadhani alikuwa Madrid kwa kipndi kirefu. Ni matumaini yangu ataendelea na form hii kwa muda mrefu, Ana sehemu moja tu ya kufanyia kazi nayo ni upande wa physical fitness, hapo akisimama vyema basi atakuwa amepiga hatua kubwa sana

Tumpe muda mkuu nafikiri kila kitu kitakuwa sawa
 
Real Madrid XI vs Eibar: Courtois; Carvajal, Varane, Ramos, Mendy; Casemiro, Valverde, Modric; Lord, Hazard; Benzema
 
Here's our starting XI to face Eibar!


EI8bWKWX0AAoI-R
 
GGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGGOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAALLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLL KARRRRRRIIIIMMMMMMMM BBBBEEEENNNZZZZZEEEMMMMMMAAAAAAAAAA!!!
 
Back
Top Bottom