Diatta katoa assist goal la 2Diatta hana msaada wowote kwa brugge. Atoke tu.
Zizzou hali yake pale bernabeu ni mbaya sana. Sijui kama Perez atamvumilia.
Upo sahihi mkuu. Ila kumbuka wachezaji wa enzi zile tunachukua eufa CL mara tatu yale makali ya wachezaji sio haya ya sasa. Lawama zooote namtupia papa perez. Amejisahau kusajili aiseeeZidane ni mbahatishaji tu huo ndio ukweli.
Kwa brugge jamaa kaflop sana. Nadhani ajiamini. We mwangalie tuDiatta katoa assist goal la 2
Kwanini anazingua mkuu? Wamtoe tu.Diatta ni mzigo kwa brugge. Anakuwamwoga mwoga, sihui anatishwa na nini...