So far game ipo poa sana, kila team inasaka ushindi, ila ninachoona ni ulinzi mkali sana pande zote mbili, kigezo cha kwanza ninaona ni kutofungwa kipnd cha kwanza, so mabadiliko.ndio yataamua hatma ya team zote mbili.
Ninategemea kuona tukipata goli kipnd cha pili, suala la msingi ni team ijitahid kupanda kwa haraka tunaposhambulia ili tuwe na option nyingi!! Hii game tunaimudu kabisa.,
HT:Naona timu imecheza vzr...huku mbele benzema anashindwa kuwapa wenzake link...mipira mingi inapotea kwake...leo eneo la ulinzi limekaa vyema..huu upande wa Nacho ni dhaifu...wanajua Nacho siyo mtu imara wamemfanya uchochoro..
Ni either benzema abadilike nakutazama katika hali ya umakini zaidi au abadilishwe.
Hazard anashindwa kutoa maamuzi ya haraka, kitu kinachowapa muda mabeki wa Atleti kujipanga. Hawa jamaa wanadefend vizuri sana, jinsi ya kuwafunga inatakiwa iwe kama surprise hivi. Si unaona hata cross zote wanazicheza kabla mpira haujamfikia Benzema
Benzema na Hazard ni kama wanacheza sehemu moja yaani mpira ukienda kule wote wanajaa upande huo. kitu ambacho kinaacha ombwe pale katikati panakuwa hakuna striker
1. Real Madrid (15)
2. Granada (14)
3. Atletico Madrid (14)
4. Barcelona (13)
5. Real Sociedad (13)
6. Athletic Bilbao (12)
7. Villarreal (11)
8. Sevilla (10)
9. Valencia (9)
10. Real Betis (8)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.