Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Halftime stats

EFk3PHoWkAAmwx3


 
An interesting first half on our toughest challenge this season. I really hope to see our forwards score goals in the second one
 
So far game ipo poa sana, kila team inasaka ushindi, ila ninachoona ni ulinzi mkali sana pande zote mbili, kigezo cha kwanza ninaona ni kutofungwa kipnd cha kwanza, so mabadiliko.ndio yataamua hatma ya team zote mbili.
 
Ninategemea kuona tukipata goli kipnd cha pili, suala la msingi ni team ijitahid kupanda kwa haraka tunaposhambulia ili tuwe na option nyingi!! Hii game tunaimudu kabisa.,
 
HT:Naona timu imecheza vzr...huku mbele benzema anashindwa kuwapa wenzake link...mipira mingi inapotea kwake...leo eneo la ulinzi limekaa vyema..huu upande wa Nacho ni dhaifu...wanajua Nacho siyo mtu imara wamemfanya uchochoro..

Ni either benzema abadilike nakutazama katika hali ya umakini zaidi au abadilishwe.
 
Pale mbele sipaelewi kwa kweli mipira ikienda mbele hakuna threat yeyote ya maana..


Hazard anashindwa kutoa maamuzi ya haraka, kitu kinachowapa muda mabeki wa Atleti kujipanga. Hawa jamaa wanadefend vizuri sana, jinsi ya kuwafunga inatakiwa iwe kama surprise hivi. Si unaona hata cross zote wanazicheza kabla mpira haujamfikia Benzema
 
Benzema na Hazard ni kama wanacheza sehemu moja yaani mpira ukienda kule wote wanajaa upande huo. kitu ambacho kinaacha ombwe pale katikati panakuwa hakuna striker
 
Nafasi kama ile ya Bale ilikuwa ni ya kufunga goli kabisa ile sema ndo vile mzee wetu ameisha huyu
 
Hazard bado lacks sharpness, Benz ni mzigo kila mtu anajua hilo isipokua Zizu tu. The defence is on lock imejitahidi tofauti na games za nyuma
 
Back
Top Bottom