kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
casemiro kaenda wapi?So far PSG have all the ball. We don't have an hold midfielder
casemiro kaenda wapi?So far PSG have all the ball. We don't have an hold midfielder
maneno ya kivuta bangi hata zizzou hawezi kuwaambia wachezaji wakeHT:Hatujacheza vzr kwa maana ya "team work"...unaona wachezaji kadhaa tu wakionekana wako na uhai hata kama hawafanyi vyema sana,unamuangalia Bale,Carvajal na kias Varane ndio wanaonekana wana uhai...wengine wote hawaonekani kama wamekuja kutafuta ushindi au kupiga picha kwenye ile Paris Tower...zidane anatakiwa abadilike kimtazamo asikariri sana lazima kutumia winger kushambulia au kupata magoli...lazima tuwe na uwezo wakupress kutokea katikati...as it is now,hawa jamaa wametukama kiungo yote...di maria anatembea anavyotaka...anapokea mpira yupo mwenyewe...yaan magoli yote tumefungwa kwa sababu yakukaba kwa macho..huku mbele ninafikiri mmoja kati ya benzema au bale apumzike.
Kimsingi hii timu yetu tukikutana na wale watani zetu wakuu tutapata aibu ingine..bado hatujapata muunganiko...
bimkubwa wako kasema ananipa nyumba na chooTumekubali matokeo mkuu, kama umefurahi leo mpe jamaa akamue mpaka majogoo
Kuna mnyama anaitwa idrisa gueye kawapoteza wote pale kati.casemiro kaenda wapi?
Ndugu zangu kina zidane nawasalimu![]()
Nilishasemaga pale aliporudigi tu tafuta uzi wangu wa nyuma..Zidane kaenda Madrid kujaribu bahati tu na ataharibu CV yake tu
bimkubwa wako kasema ananipa nyumba na choo
Umemsahau Muargentina mmoja anaitwa Leandro Daniel Paredes fundi wa pasi sema huwa haaminiwi tu pale Parc Des PrincesKuna mnyama anaitwa idrisa gueye kawapoteza wote pale kati.
All in all psg ndio timu kwa sasa yenye best midfield
Verrati
Herrera
Gueye
Maurinqoh
Muda utaongea,tusubiri mida
Game day. Can't wait to smack PSG and start our journey with a bang. Vamonos.
Noma saana.Umemsahau Muargentina mmoja anaitwa Leandro Daniel Paredes fundi wa pasi sema huwa haaminiwi tu pale Parc Des Princes
walikuwa wapi mpaka kaseja kaenda KMC?Zidane atasingizia usajili.
Ila ukweli timu mbovu sana huyu kipa anatakiwa atolewe mkopo. Navas hakutakiwa Uzwa
Nilipata bahati ya kumuona live Gueye alipokuwa everton na moyoni nikasema kwanini team kubwa hazimchukui huyu mtu anajuwa mpira katulia au ndio profile ya player inachangiwa na nchi uliyotoka. Jana kawaonesha uwezo wake alikuwa anamzunguka Kroos kama utani na sio mara moja kampunguza mara nyingi na akifanya hivyo tu unaona kabisa Real wako katika shida. Gueye angekuwa ni kutoka Brazil, England au sijui spain ungesikia nyimbo zote yeye lakini sababu Msenegal anaongelewa lakini sio sana na ile apewe sifa inabidi apate 10/10. Jamaa jana kafunika vibaya sana na mbaya zaidi Everton walimuuza kama bure tu Mil 26 naona baada ya jana wanajuta. Arsenal au Man u wenye viungo wabovu kweli walikuwa hawamuoni huyu bwana mdogo.Kuna mnyama anaitwa idrisa gueye kawapoteza wote pale kati.
All in all psg ndio timu kwa sasa yenye best midfield
Verrati
Herrera
Gueye
Maurinqoh