Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

HT:Hatujacheza vzr kwa maana ya "team work"...unaona wachezaji kadhaa tu wakionekana wako na uhai hata kama hawafanyi vyema sana,unamuangalia Bale,Carvajal na kias Varane ndio wanaonekana wana uhai...wengine wote hawaonekani kama wamekuja kutafuta ushindi au kupiga picha kwenye ile Paris Tower...zidane anatakiwa abadilike kimtazamo asikariri sana lazima kutumia winger kushambulia au kupata magoli...lazima tuwe na uwezo wakupress kutokea katikati...as it is now,hawa jamaa wametukama kiungo yote...di maria anatembea anavyotaka...anapokea mpira yupo mwenyewe...yaan magoli yote tumefungwa kwa sababu yakukaba kwa macho..huku mbele ninafikiri mmoja kati ya benzema au bale apumzike.

Kimsingi hii timu yetu tukikutana na wale watani zetu wakuu tutapata aibu ingine..bado hatujapata muunganiko...
maneno ya kivuta bangi hata zizzou hawezi kuwaambia wachezaji wake
 
Zidane atasingizia usajili.
Ila ukweli timu mbovu sana huyu kipa anatakiwa atolewe mkopo. Navas hakutakiwa Uzwa
 
Kuna mnyama anaitwa idrisa gueye kawapoteza wote pale kati.

All in all psg ndio timu kwa sasa yenye best midfield

Verrati

Herrera

Gueye

Maurinqoh
Umemsahau Muargentina mmoja anaitwa Leandro Daniel Paredes fundi wa pasi sema huwa haaminiwi tu pale Parc Des Princes
 
Kuna mnyama anaitwa idrisa gueye kawapoteza wote pale kati.

All in all psg ndio timu kwa sasa yenye best midfield

Verrati

Herrera

Gueye

Maurinqoh
Nilipata bahati ya kumuona live Gueye alipokuwa everton na moyoni nikasema kwanini team kubwa hazimchukui huyu mtu anajuwa mpira katulia au ndio profile ya player inachangiwa na nchi uliyotoka. Jana kawaonesha uwezo wake alikuwa anamzunguka Kroos kama utani na sio mara moja kampunguza mara nyingi na akifanya hivyo tu unaona kabisa Real wako katika shida. Gueye angekuwa ni kutoka Brazil, England au sijui spain ungesikia nyimbo zote yeye lakini sababu Msenegal anaongelewa lakini sio sana na ile apewe sifa inabidi apate 10/10. Jamaa jana kafunika vibaya sana na mbaya zaidi Everton walimuuza kama bure tu Mil 26 naona baada ya jana wanajuta. Arsenal au Man u wenye viungo wabovu kweli walikuwa hawamuoni huyu bwana mdogo.
 
Huu ndio uhalisia khalisi wa Zidanne, tumegundua kuwa alipobeba uefa Mara tatu mfululizo ni alitembelea nyota za wachezaji kadhaa kama Cr7, akina mordich, Bale, na wengineo ambao walikuwa moto.

Sasa ndo tunamuona Ziddane khalisi jinsi ambavyo hajui chochote kuhusu ukocha.

Lampard is better so far than Ziddane ...

Bisheni..
 
Back
Top Bottom