Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Behind at the break after a disappointing first-half!


EExXWiyXoAANKc2
 
HT:Hatujacheza vzr kwa maana ya "team work"...unaona wachezaji kadhaa tu wakionekana wako na uhai hata kama hawafanyi vyema sana,unamuangalia Bale,Carvajal na kias Varane ndio wanaonekana wana uhai...wengine wote hawaonekani kama wamekuja kutafuta ushindi au kupiga picha kwenye ile Paris Tower...zidane anatakiwa abadilike kimtazamo asikariri sana lazima kutumia winger kushambulia au kupata magoli...lazima tuwe na uwezo wakupress kutokea katikati...as it is now,hawa jamaa wametukama kiungo yote...di maria anatembea anavyotaka...anapokea mpira yupo mwenyewe...yaan magoli yote tumefungwa kwa sababu yakukaba kwa macho..huku mbele ninafikiri mmoja kati ya benzema au bale apumzike.

Kimsingi hii timu yetu tukikutana na wale watani zetu wakuu tutapata aibu ingine..bado hatujapata muunganiko...
 
It’s just discouraging man. A team like Real Madrid with the players we have...there is no excuse why we can’t string together 5 passes before we get a shot off. We could be 2 goals up...there’s always a level of discomfort knowing we could give up a couple just like that.
 
It’s just discouraging man. A team like Real Madrid with the players we have...there is no excuse why we can’t string together 5 passes before we get a shot off. We could be 2 goals up...there’s always a level of discomfort knowing we could give up a couple just like that.
Ni vile hii timu yetu imetuloga....kuna wakat mtu unatamani ingewezekana unaingia unacheza...
 
Dakika zinayoyoma, mpaka sasa hakuna hata shot on target. Na huyu kipa wetu mikono haikamati mpira. Zidane is under pressure
 
Yaani timu imecheza mpira dakika 10 tu za kipindi cha pili. Sasa hivi naona PSG are buzzing whatever they want
 
Hazard na Kipa wamewekwa kimakosa. Benzema mmmmmh
Varane nae
Ramos

Hawa wanatakiwa watafute timu
 
Back
Top Bottom