Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Aisee Madrid imekua timu ya kawaida sana pamoja na usajili mlioufanya ni zero kabisa. Madrid ilikua inabebwa na CR7
 
Haukufanyika usajili wa maana. Kilichoboreshwa ni ushambuliaji tu pale kati hamna kitu. Toni Kroos na Modric wameshachoka wanahitaji backup
 
Sijui nn tunasubiri kumfukuza zizou, tutakuja kupata dhahama kubwa sn, jus imagen jana mbappe na neymar wangekuwepo hali ingekuwaje??

Madrid kuna wachezaj wazuri sn tatzo hakuna kocha wa kuisuka team, matatzo ya team yetu ni yale yale ya kila sku intensity, markin, pressing....Zizou halishashndwa kusolve those problems pre-season nimiujiza gn tunasubir kutoka kwake?

Blunder ya mwaka tunamuuza navas tunabak na shati courtois...
 
Huu ndio uhalisia khalisi wa Zidanne, tumegundua kuwa alipobeba uefa Mara tatu mfululizo ni alitembelea nyota za wachezaji kadhaa kama Cr7, akina mordich, Bale, na wengineo ambao walikuwa moto.

Sasa ndo tunamuona Ziddane khalisi jinsi ambavyo hajui chochote kuhusu ukocha.

Lampard is better so far than Ziddane ...

Bisheni..
Kwenye hili usimuhusishe Lampard kabisa. Muache afanye kazi yake.
 
Aisee Madrid imekua timu ya kawaida sana pamoja na usajili mlioufanya ni zero kabisa. Madrid ilikua inabebwa na CR7
Hata kama watapinga, Zidane hakuwa na msaada wowote pale Madrid ktk kupata yale makombe.Ni kwamba,wakat huo madrid ilikuw na players waliokuwa na kiu kubwa ya mafanikio na makombe makubwa, hapo sa ndo ulikuw unaona vichaa vya watu kama Cr7,Modric,Marcelo, Kroose,na akina Casemilo.Af mwisho wa siku watu wakadhani n kocha, Sasa hv timu hiyo haiwezi tena,ukocha hawezi alikuwa ananufaika na bidii binafsi za wachezaji na sio mbinu zake.
 
Hata kama watapinga, Zidane hakuwa na msaada wowote pale Madrid ktk kupata yale makombe.Ni kwamba,wakat huo madrid ilikuw na players waliokuwa na kiu kubwa ya mafanikio na makombe makubwa, hapo sa ndo ulikuw unaona vichaa vya watu kama Cr7,Modric,Marcelo, Kroose,na akina Casemilo.Af mwisho wa siku watu wakadhani n kocha, Sasa hv timu hiyo haiwezi tena,ukocha hawezi alikuwa ananufaika na bidii binafsi za wachezaji na sio mbinu zake.
hao wachezaji kama wamesharidhika wameshashinda makombe yote makubwa, hawana motivation. Mm naona Hazard alikosea tu timing angeenda kipindi kile Madrid ipo kwenye pick angeng' aa ila sasa hivi anaonekana nichezaji wa kawaida tu
 
Sijui nn tunasubiri kumfukuza zizou, tutakuja kupata dhahama kubwa sn, jus imagen jana mbappe na neymar wangekuwepo hali ingekuwaje??

Madrid kuna wachezaj wazuri sn tatzo hakuna kocha wa kuisuka team, matatzo ya team yetu ni yale yale ya kila sku intensity, markin, pressing....Zizou halishashndwa kusolve those problems pre-season nimiujiza gn tunasubir kutoka kwake?

Blunder ya mwaka tunamuuza navas tunabak na shati courtois...
Hahaha Navas alikuwa sahihi sana apo madirid ila kumuaminj Qotwaa ambaye ana laana ya fans wa Chelsea maana ni kama msaliti hivi ..iyo ni Ku take risk kubwa sana ...

Kuanzia Qotwaa mpaka uyu Ziddane timu nzima imepigwa

Cr7 alikuwa ni motivation kwa wachezaji wengi sana apo madirid ..na alikuwa sahihi kwake kuondoka ..maana kila kitu kabeba na hii timu.. Kasoro la liga nadhani
 
hao wachezaji kama wamesharidhika wameshashinda makombe yote makubwa, hawana motivation. Mm naona Hazard alikosea tu timing angeenda kipindi kile Madrid ipo kwenye pick angeng' aa ila sasa hivi anaonekana nichezaji wa kawaida tu
Hazard akitoka madrid atarudi chelsea
 
I don't want to blame Zidane on this, he wanted to build the team on his way, they interfere now we get the results we deserve. Where are those people who were crying no need to buy a midfielders because James should stay?
 
I don't want to blame Zidane on this, he wanted to build the team on his way, they interfere now we get the results we deserve. Where are those people who were crying no need to buy a midfielders because James should stay?

Actually it's Zidane who refused players and the chance of a great revolution. He refused Donny, passed on Ndombele, kicked out Llorente and Ceballos. The guy is simply responsible for every bad thing going on with us.
 
The main difference between Real Madrid and the rest is, we can cry coz we got 13 huge cups to hold our tears. What have they got?
 
I don't want to blame Zidane on this, he wanted to build the team on his way, they interfere now we get the results we deserve. Where are those people who were crying no need to buy a midfielders because James should stay?

Zidane anachoweza ni kutembelea Timu walizotengeneza Wengine ili ajipatie Mafanikio kiurahisi.

Aliipata Real katika kipindi sahihi ambacho BALE, CR7, BENZEMA, MODRIC, KROOSE, MARCELO, NAVAS, RAMOS, CASEMIRO wapo on fire akawa anajipigia Kitonga tu!

Sasahivi wameshachoka hao wazee Zidane hajui afanye nini!!

Laufupi Zidane ni Mzee wa Kitonga tu

Sasa unaposema Zidane "wanted to build the team on his way" hapo ni false hope tu! Zidane hana uwezo wa Coaching wala kutengeneza Timu.
 
Hahaha Navas alikuwa sahihi sana apo madirid ila kumuaminj Qotwaa ambaye ana laana ya fans wa Chelsea maana ni kama msaliti hivi ..iyo ni Ku take risk kubwa sana ...

Kuanzia Qotwaa mpaka uyu Ziddane timu nzima imepigwa

Cr7 alikuwa ni motivation kwa wachezaji wengi sana apo madirid ..na alikuwa sahihi kwake kuondoka ..maana kila kitu kabeba na hii timu.. Kasoro la liga nadhani
Lig alibeba akiwa na mourinyo
 
Zidane anachoweza ni kutembelea Timu walizotengeneza Wengine ili ajipatie Mafanikio kiurahisi.

Aliipata Real katika kipindi sahihi ambacho BALE, CR7, BENZEMA, MODRIC, KROOSE, MARCELO, NAVAS, RAMOS, CASEMIRO wapo on fire akawa anajipigia Kitonga tu!

Sasahivi wameshachoka hao wazee Zidane hajui afanye nini!!

Laufupi Zidane ni Mzee wa Kitonga tu

Sasa unaposema Zidane "wanted to build the team on his way" hapo ni false hope tu! Zidane hana uwezo wa Coaching wala kutengeneza Timu.


Zidane hawezi kutengeneza timu leo, wakati alitaka kuuza hao wakina Bale media, fans and all of the world was against him. Remember he wanted to bring new midfielders the board na kila mtu alikuwa anapiga kelele James abaki. How he could build new team without to sell some players? Real Madrid wakubali kuuza na kununua la sivyo sio Zidane tu kila manager akija hii timu tayari imeshapoteza connections uwanjani.
 
Zidane hawezi kutengeneza timu leo, wakati alitaka kuuza hao wakina Bale media, fans and all of the world was against him. Remember he wanted to bring new midfielders the board na kila mtu alikuwa anapiga kelele James abaki. How he could build new team without to sell some players? Real Madrid wakubali kuuza na kununua la sivyo sio Zidane tu kila manager akija hii timu tayari imeshapoteza connections uwanjani.

Tatizo ni moja tu! Real inapotaka kuuza wachezaji wake inakosa Timu ya Kuwanunua hatimae wanishia kutolewa Kwa Mikopo kwasababu wao haiwahitaji kiwachezesha.

Miongoni kwa wachezaji waliopo Nje kwa Mikopo kwa kukosa timu za kiwanunia ni Kovacic na Ceballos.
Hata James alizunguka kwa Mkopo Bayern bila ya kupata Mteja wa kumnunua.

Unajua kwanini?
Kwasababu Bodi ya Real inawaekea wachezaji wake walioflop bei ambayo sio uhalisia kwa Wachezaji hao.

• Sisi Liverpool tulimtaka Asensio tukaambiwa anauzwa kwa £150m

• Tulimtaka Isco tukaambiwa ni lazima tuifikie Release Clause Yake (Sijui hata ni Pounds mia ngapi?)

• Tulimtaka Dani Ceballos tukaambiwa bei Yake ni £75m

• Hapo ukimtaka huyo James basi utaambiwa utoe £100m

• Ukimtaka Bale utaambiwa utoe £100m

• Tazameni bei muliyomuuza Moratta kwa Chelsea wakati ni very poor striker hata haiingii akilini.

• Luna timu nyingi tu za EPL zilivutiwa na Bale ikiwepo Man United na Spurs lakini hawakuweza kubid kutokana na kutokuwa tayari kumnuni Mchezaji mwenye umri zaidi ya Miaka 30+ kwa bei ambayo isingepungua £100m.

Kwahiyo Bodi lazima ilazimishe Zidane atumie wachezaji waliopo kwasababu Wakumuuzia kwa Bei wanazotaka Wao hayupo, Na kumwachia Zidane awauze kwa Bei ya Kisoko (Mfano wa £30 - 40m) hawako tayari.
 
Back
Top Bottom