Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,792
Perez alikuwa akikwaruzana sana na Zizou kuhusu Assesio alitaka awe anacheza ili hata wastar wakihama yeye ndo awe chachu ya mafanikio lakini dogo msimu huu amedrop kiwango hata kufunga anakosa sana magoli. Kijana katuangusha sana. Na Perez kinachomsumbua ni kutokuwa na Star wa kihispaniola kwa muda Mrefu tangu Raul hakuna mtu ambaye ameweza kufanya mambo mazuriBale angeweza ila sasa jamaa ni kama chombo cha udongo ukikosea kukishika tu pwaa chini,sijui kwann mwepesi wa kuumia. Ulaya vipaji vipo tatizo wanacheza na media wanasahau kazi uwanjani