Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hapa ndio uliharibu kabisa post yako!!.... Yaani mechi zote hizo bila goli hadi mmevunja rekodi yenu ya ukame mrefu zaidi katika historia ya klabu alafu unasema tatizo sio forward zenu ila beki?? Hvi kwa magoli yote mnayokosa utalaumu beki zenu??

Kapitie magoli wanayofungwa Real Madrid ndio utafahamu hilo. Asilimia ya magoli mengi wanayofungwa Real Madrid wanafungwa kwa uzembe wa mabeki.
 
Real Madrid was poor last season too. Winning UCL just masked what had been a dissapointing campaign. I don't understand why we forget so easy. A time like this fans were calling for Zidane to be sacked. Cristiano unfairly were compared to Paulinho.
Any wise player wouldn't stay at Real Madrid this season after so much success in previous 4 years. It's normal in football to dip after achieving a lot.

I knew Zidane wouldn't stay too. He couldn't handle the preasure anymore

Wenzetu hawafahamu kabisa. Wao wanaamini ukosekanaji wa Ronaldo ndio matatizo ya yote haya.
 
sasa mbona una ongea yale yale kwamba wkt CR7 ana goal 4 tulikua na hali mbaya baada ya kuanza kufunga tuka rudi kwenye track, tuwe wakweli bila kufanya replcement ya uhakika ya Ronaldo tutapta tabu


Sasa kwani je kwani msimu umemaliza? mbona unaleta judgment ndo kwanza mechi 10 tu za msimu?
 
Julen Lopetegui hana kosa pale Santiago Bernabeu.. Real Madrid inamiliki na kucheza mpira...

Kosa la Real Madrid ni kuuza Lamborghin na kununua Vitz old model.. Mtu anayekupa magoli 50+ kwa msimu anaondoka unamleta Mariano ambae hajawahi kufikia hata nusu ya magoli ya Ronaldo.. Pengo la Ronaldo linaonekana, mabeki wa timu pinzani wanarelax maana hamna mtu wa kutishia kwenye safu ya ushambuliaji..

Mkuu mariano ni bench player, hajaletwa pale kama awe ndio direct replacement ya Ronaldo.
 
Hali ya timu yetu Kwa game kadhaa zilizopita ilkua hoi.

But, this is Uefa,

Naamini vijana watafanya kweli
 
KICK OFF!

THE FIRST HALF BEGINS.


44819247_2237984269559654_9155477700645748736_n.jpg
 
Real Madrid are finally playing some good football after a long time.
 
Yuko wapi yule alieuliza Lucas Vazquez anafanya nini kwenye hii timu?
 
Karim Benzema's goal means that he's the fourth all-time top scorer in the UEFA Champions League history. 🔥

44731912_2238003819557699_6926951494398771200_n.jpg
 
Back
Top Bottom