Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Meanwhile, AS Roma are teaching us how to beat CSKA Moscow
 
Roma walikapiga hako ka Plzen 5-0. Mjichunge na kagoli kenu kamoja. Msije lia.
 
I'm not happy with this first half too. Hawa tungewakalia 3 saa hizi, nafasi zote zile kule mbele wanaonekana hawako serious. Na hawa jamaa wamepoteza nafasi mbili za wazi. Saa hizi tungekua tunaongea mengine
 
DqOCNdQWsAAtOW0.jpg
 
Benzema anakua ni mfungaji bora #4 wa muda wote wa Uefa baada ya Messi na Ronaldo kwa wachezaji wa era hii
IMG_20181024_001146_713.JPG
 
Tatizo conte atamzibia hazard kuhamia madrid,hawa wawili hawapatani

Madrid tatizo kubwa sio kocha bali wachezaji viwango. Msimu huu wachezaji wengi umri mkubwa,ila sasa baada ya kuuzwa mmoja, kelele za umri zikapungua watu wamejisahau kuwa kikosi cha kwanza kina wengi wenye 30+

Majeruhi kila kukicha. Usajili wa maana unahitajika
Hakuna namna sasa mkuu. Bila hivyo mtaendelea kupigwa tu..
 
Conte is Real Madrid president Florentino Perez’s first choice to replace Julen Lopetegui if Real Madrid sack their manager. Perez’s entourage have already been in touch with Conte to ask about his availability.

Conte chose not to go to Real Madrid last summer because he needed a break from the game.

Chelsea are not commenting on reports elsewhere that claim they would be owed as much as £9.5 million in compensation.
 
Back
Top Bottom