Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Perez is about to sack somebody. Hahaha! Yule jamaa sijui ana mikosi? Kufukuzwa kazi mara mbili ndani ya miezi mitatu.
 
Kosa kubwa alilofanya Perez ni kumuondoa mapema Cr7 wakati replacement hakuna. Madrid imekosa kabisa kujiamini ...

Cr7 alikuwa ni kama motivation kwa wachezaji wenzie, makosa mengi ya mtu kama Marcelo yalikuwa cleared na Cr7

Sasa ni kipigo tu hakuna na hakuna namna.
 
Juve kufanya nn? inahitaji elimu gan kujua kma pengo ka Ronaldo tulilifanyia mzaha? au ukiwa shabiki unapoteza uwezo wa ku reason?

Hebu twambie mwaka jana wakati timu ilipokua ikifanya vibaya je kulikua na pengo la nani? Huyo Ronaldo hakuwemo ?
 
Kosa kubwa alilofanya Perez ni kumuondoa mapema Cr7 wakati replacement hakuna. Madrid imekosa kabisa kujiamini ...

Cr7 alikuwa ni kama motivation kwa wachezaji wenzie, makosa mengi ya mtu kama Marcelo yalikuwa cleared na Cr7

Sasa ni kipigo tu hakuna na hakuna namna.

Unaizungumza Real Madrid kama vile West ham.
Ronaldo au Ramos anaeclear makosa ya Marcello?
 
Ni ngumu sana kufundisha hizi timu with too much expectations, Zidane hii preasure ilimshinda akaamua kujiondoa. Ukikubali kuwa kocha wa timu hizi kuna mambo mawili yanakusubiri, triumph au kuharibu CV yako.

Perez ana matatizo sana. Jamaa hana uvumilivu kabisa, Na anashindwa kubadilika. Na zidane analifahamu hilo na ndio akaamua kuondoka na mapema tu. Huwezi mtimua kocha ndio kwanza 10 games kwenye ligi na upo nyuma kwa 4 tu na league leaders.
 
Kila siku tushinde sisi tu jaman....? How can The team play without spirit win?
Ile kocha flekelea mbaali, ile Perez isishinde tena new election!
Huwezi uza Ronaldo ununue vicinius Jr au Mariano!

Perez asishinde tena? Unafaham kama mafanikio ya Real Madrid for the last 20 years yanatokana na Perez? na unafaham kipindi ambacho perez alikosa uongozi timu ilipoteza meulekea kabisa hapo ya ya kati?
 
ilifanya vibaya for how long? impact yake na hii sasa zipo sawa?

Unapoteza kumbukumbu mapema sana. Umesahau kama Real Iliachwa na Barca karibu point 20 nyuma wakati league inaendelea? Real ilkua nafasi ya 6 na ya 7 kwa mda mrefu sana umesahau?
Ronaldo mpaka December inainfia ana goli 4 tu za ligi umesahau?
TImu ilivuranda makundini champion league sambamba na kunyanyaswa na spurs na kuishia kupapatua nafasi ya pili kundini pia ulisahau?
KIpigo cha aibu cha Copa de la rey nakutolewa na kibonde umesahau?
 
Unapoteza kumbukumbu mapema sana. Umesahau kama Real Iliachwa na Barca karibu point 20 nyuma wakati league inaendelea? Real ilkua nafasi ya 6 na ya 7 kwa mda mrefu sana umesahau?
Ronaldo mpaka December inainfia ana goli 4 tu za ligi umesahau?
TImu ilivuranda makundini champion league sambamba na kunyanyaswa na spurs na kuishia kupapatua nafasi ya pili kundini pia ulisahau?
KIpigo cha aibu cha Copa de la rey nakutolewa na kibonde umesahau?
sasa mbona una ongea yale yale kwamba wkt CR7 ana goal 4 tulikua na hali mbaya baada ya kuanza kufunga tuka rudi kwenye track, tuwe wakweli bila kufanya replcement ya uhakika ya Ronaldo tutapta tabu
 
Huoni Marcelo anacheza utumbo tu sasa hivi

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app

Mkuu unafahamu kitu mfumo kwenye football?
Real madrid mfumo umebadilishwa kutokana ujio wa kocha mpya kila kocha na mfumo wake. Na niwazi mfumo unapobadilika kuna baadhi ya wachezaji huchelewa kufit kwenye mfumo na wengine huwashinda kabisa.
Tatizo kuu la marcello lipo kwenye defending na sio attaking. Na mchezaji anaesaidia mashambulizi vizuri tu lakaini huwa natagisha sana magoli pamoja kutokukaa positon na kuwa nafasi timu pinzani kupita sana kwenye upande wake. Casamirro na Ramos ndio wamekua wakitumika kumkavia sana.
Tatizo la Real kubwa ni Nyuma nasio mbele. Ramos, Varan na Marcello ni michomo. Wanatagisha sana magoli. na timu zikishatia bao hukaa nyuma na kubana kama yalitokea juzi. na wanapobanwa tatizo kubwa linalowakuta ni kustragle kkriate nafasi nasio suala la kufunga. mana ili ufunge lazima pawe pana na nafasi na bila ya nafasi hapana goli. Sasa nyie mnaomlalamikia Ronaldo nashindwa kuwafahamu kabisa. Mana tatizo la creating sio lake kabisa mana yeye real hakuwa creater. alikua ni mfungaji kwa maana hata angelikuepo tatizo lsingeliondoka. Real madrid wamestragle na tatizo hili kwa mda mrefu sana japokuwa Zidane alifanikwa kulitatua kidogo kwa mfumo aliotengeneza. Na ndio mana Real imeshindwa kufanya vizur kwenye ligi miaka ya karibuni kwa sababu timu ndogo nyingi hudifend mda mwingi tafauti na Chanpion league. Ronaldo na Bale walikua ni dead kwenye creating, na Isco bado anastragle.
Mimi nahisi Real walihitajika pia kumundoa Bale. Na wangefanya usajili wa creative winger na sio mviziaji.
 
sasa mbona una ongea yale yale kwamba wkt CR7 ana goal 4 tulikua na hali mbaya baada ya kuanza kufunga tuka rudi kwenye track, tuwe wakweli bila kufanya replcement ya uhakika ya Ronaldo tutapta tabu

Assensio ni perfect replacement. anahitaji time tu kidogo dogo kuchanganya.
 
Huyu leptugui hafiki leo jion atakuwa ameshapgwa chini

Dhambi ya usaliti haiwezi kumwacha salama
 
Julen Lopetegui hana kosa pale Santiago Bernabeu.. Real Madrid inamiliki na kucheza mpira...

Kosa la Real Madrid ni kuuza Lamborghin na kununua Vitz old model.. Mtu anayekupa magoli 50+ kwa msimu anaondoka unamleta Mariano ambae hajawahi kufikia hata nusu ya magoli ya Ronaldo.. Pengo la Ronaldo linaonekana, mabeki wa timu pinzani wanarelax maana hamna mtu wa kutishia kwenye safu ya ushambuliaji..
 
Back
Top Bottom