Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kwa mtu anayefuatilia mpira anajua atletico deserved both the trophies kma sio griezmann kukosa penalty ya normal time 2016 ama atletico kuruhusu goli la stoppage time la Ramos.... Alafu mtu ana summarise tu eti TUMESHINDA 3 IN A ROW

Kama ni dominant kwanini la liga inawashinda miaka nenda rudi.... Real Madrid are overrated na aliekuwa anawabeba ndio huyo kasepa sahivi mnatia huruma tu

Nacheka kibasque 😀😛
Deserved??? There's no such a thing in football... Only the winners are remembered... If they deserved wasingeruhusu goli dakika ya 94...if they deserved Griezman na Juanfran wasingekosa penalty... Madrid has been winning the champions league because of great squad ..great coaches... great mental strength ya wachezaji ..that never say die attitude especially kwenye knockout games... Sema kwenye league... Over a run of 38 games Madrid wana tabia ya ku lose concentration ndo mana wana drop points nying sana... Lakini kwenye champions league... Let nobody lie to you... We deserved everything we've won
 
Katika maisha kuna kipindi cha mpito na ndicho wanachopitia Real Madrid
Na kitaisha Baada ya msimu huu kwisha endeleeni kuvumilia wandugu
 
Katika maisha kuna kipindi cha mpito na ndicho wanachopitia Real Madrid
Na kitaisha Baada ya msimu huu kwisha endeleeni kuvumilia wandugu
haya mapito ya kujitakia haiwezakani Mariano awe replecement ya Ronaldo, mchezaji ambae hata Leicter city angekaa bench ,Benz nae ana zingua tu wanajifanya hawaoni
 
Mkuu uefa ni game of chance...ukibahatika kushinda nyumbani ns ugenini ukatoa draw, unaendelea stage ongine..

Kwaiyo madrid katembea sana kwenye izo game of chance..
Kwa mtu anayefuatilia mpira anajua atletico deserved both the trophies kma sio griezmann kukosa penalty ya normal time 2016 ama atletico kuruhusu goli la stoppage time la Ramos.... Alafu mtu ana summarise tu eti TUMESHINDA 3 IN A ROW

Kama ni dominant kwanini la liga inawashinda miaka nenda rudi.... Real Madrid are overrated na aliekuwa anawabeba ndio huyo kasepa sahivi mnatia huruma tu

Nacheka kibasque 😀😛
 
Sergio Ramos:

"If people say Real Madrid are dead they are very wrong, we are going to fight to the death because it is our DNA and that is what we are used to doing."
1f525.png
1f525.png


#HalaMadridYNadaMas

#WinLooseOrTieMadridistaTillIDie



43368032_2215284835162931_2129131098125369344_n.jpg
 
Toni Kroos: "Two weeks of disappointing results, games and also bad luck. We deserved more points because we didn‘t play that bad -but it is what it is. Don’t forget we also had these moments in the past three years...
Will be a great challenge to stand up again! Hala Madrid!"



43490653_2216476118377136_7219879894757408768_n.jpg
 
Real Madrid's next fixtures:

20/10
1f3e0.png
Levante

23/10
1f3e0.png
Viktoria Plzen

28/10
2708.png
Barcelona

03/11
1f3e0.png
Valladolid

07/11
2708.png
Viktoria Plzen

11/11
2708.png
Celta Vigo





43645913_1263681360450589_4676280660111917056_n.jpg
 
Los Blancos have just published their latest medical report on the 30-year-old French striker who limped off with a hamstring injury after Saturday's match against Alaves

"Following tests carried out today on our player Karim Benzema by the Real Madrid Sanitas medical team, he has been diagnosed with an injury to his right hamstring. His recovery will continue to be assessed."

Benzema could be sidelined for two to three weeks and his involvement in El Clasico is questionable. If he doesn't get well by Barca match, his place will be taken up by Mariano Diaz, Los Blancos' reserve striker.



safe_image.php
 
Back
Top Bottom