Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,043
- 3,371
Jamani haya matuzo yaendelee kutawanywa ili kila mmoja ashiriki wote wanafanya vizuri maana yake ukitaka goli kipa wa kudaka uefa chukua navas, ukiwa na team ya taifa chukua Thibaut, na ukiambiwa unda team ya haraka utamchukua david, ni Kama unaambiwa naunda kikosi bora majina mawili umepewa hazard na Salah kocha mzoefu atachukua hazard class permanent ,same kwa viungo chagua namba sita club/taifa akili ya kocha bora itamwambia kante, Ronaldo, Messi, varane, luka, Marcelo nafasi zao unquestionableBest goalkeeper in Europe : Keylor Navas
Best goalkeeper in the world: Thibaut Courtois
FIFPro XI goalkeeper: David De Gea
FIFA LOGIC