Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,566
Refa kazingua faulo ya Suarez

Kama Simba ya Tanzania.Ndio maana hawajafungwa msimu huu sio kwa kubebwa huku![]()
Camp nou pamelaaniwa kwa mbelekoNdio maana hawajafungwa msimu huu sio kwa kubebwa huku![]()
pole sana mkuu. Hata sisi tulistahili kushinda hii mechi bila nyie kugeuza mechi ugomvi.We should have won this match
Sema si mbaya
Eeh Mungu tusaidie tuifunge Barca wasimalize msimu wakiwa Invincibles ameen!
![]()
