Tuna mlima mrefu sana wa kuupanda, ukizingatia na hali ya foward yetu basi hali inakuwa ni tete zaidiSo far tumekaa bao 2, mpira ni mapummapumziko .
Tuna mlima mrefu sana wa kuupanda, ukizingatia na hali ya foward yetu basi hali inakuwa ni tete zaidi
inahitajika reinforcement ya uhakika next seasonMkuu, hii timu imenitesa sana msimu huu. Hii summer Zidane aingie tu dukani , maana hakuna namna.





Wew unadhani kile kikosi cha jana ndio watacheza na Liverpool!? Kama unsubiri hilo suala litokee, ugua pole., jana Zidane aliamua tu kuwapa vijana wake nafasi tu ya kucheza, hata hivyo game yenyew haikuwa na mashiko.., sie tunjiandaa tu na hao Liverpool wenu.Pumbavu acheni kubutua butua, on target hadi sasa ka moja tuu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nnawasiwasi mtapigika na livaView attachment 771903
Zimefika Mkuu., goli mbili sio haba.., au sio MkuuHongereni MADRIDO kwa kushinda goal 2 Jana![]()