
Adui mwombee njaa, kwa jirani haijaa njaa tu bali baa la njaa, kwetu furaha
Madrid Tunabeba tena no doubt. Sioni wa kutuzuia
Barca yenye akiba ya wachezaji ipo wapi?Unasemaje kuhusu mapungufu yaliyopo kwenye defence kesho Ramos hayupo. Mbadala wake Vallejo kaumia. Yaani Casemiro ndio atacheza nafasi ya Ramos. Huoni ni kituko hicho...
Madrid timu kubwa haina akiba ya wachezaji.
Barca yenye akiba ya wachezaji iko wapi?
Kesho hata acheze nani tutapita, Juve ni mke wetu tutapiga tu na ikumbukwe ni Bernabeu. Kwa timu zilizobakia hakuna wakutuzuia
Tukitolewa na Juve nakutumia muamala mpesa. You have my word.Hata Barcadogs walikua wanabwatuka hivo hivo!!!
Look what happened
Adui mwombee njaa, kwa jirani haijaa njaa tu bali baa la njaa, kwetu furaha
Madrid Tunabeba tena no doubt. Sioni wa kutuzuia
Definitely I can't underestimate Madrid, wengine wote wapo kusumbua tu mahakama ila watahukumiwa. Madrid atawahukumu wote na kuwapa vipigo barabara.Hata Barcelona Walijitangaza Kuwa Ni Unbeaten na Waliamini Kuwa Hakuna Wa Kuwafunga.
Hata Wewe Hukuwahi Kufikiria wala Kuamini Kuwa Roma ana Uwezo Wa Kumfunga 3 - 0 Barcelona..
Wala Hukuwahi Kuwaza Kuwa Roma ana Uwezo Wa Kumtoa Barcelona.
Nakukumbusha tu Kuwa Usije Ukai-Underestimate Timu yoyote Katika #CL hasa kuanzia Hatua Ya Nusu Fainali mpaka Fainali Kwani CL Ni "GAME OF CHANCE".
Ni kweli tuna tatizo kwnye upande wa CD, ila hatuna upungufu wa wachezaji, tunao beki wa kati 4, hawa wanatosha sana, sababu kila game wanacheza wawili, sasa na wengi zaidi ya hapo itakuwa haina maana, ni kuchezea raslimali.,Unasemaje kuhusu mapungufu yaliyopo kwenye defence kesho Ramos hayupo. Mbadala wake Vallejo kaumia. Yaani Casemiro ndio atacheza nafasi ya Ramos. Huoni ni kituko hicho...
Madrid timu kubwa haina akiba ya wachezaji.
Muhimu ni vijana wetu kucheza kwa weledi tu na kujaribu ku control game, ikiwezekana Hiyo basi uwezekano wa kuwapiga tena kwetu ni mkubwa sana, yaani tukipata goli tu tumemaliza game.,Definitely I can't underestimate Madrid, wengine wote wapo kusumbua tu mahakama ila watahukumiwa. Madrid atawahukumu wote na kuwapa vipigo barabara.
Bora hata semis ambako kutakua na two games ila sio sasa ambapo tayari RM anaongoza 3-0 na Leo game ni Bernabeu. Hii hata dunia ipinduke tunapita. Juve akisikia Madrid analowa
Mki meet na Nani? pambaneni na Roma uko ndo level zenu



wapambane nao kwa kweliDefense kitu gani bhana, tunaweza pumzisha kikosi chote cha kwanza tukaweka cha pili na bado tukatoboa, mechi iliisha mchezo wa kwanza TurinUnasemaje kuhusu mapungufu yaliyopo kwenye defence kesho Ramos hayupo. Mbadala wake Vallejo kaumia. Yaani Casemiro ndio atacheza nafasi ya Ramos. Huoni ni kituko hicho...
Madrid timu kubwa haina akiba ya wachezaji.
Ikishapigwa ile nyimbo inayoishiaga na maneno "the chaaampioooons"Unasemaje kuhusu mapungufu yaliyopo kwenye defence kesho Ramos hayupo. Mbadala wake Vallejo kaumia. Yaani Casemiro ndio atacheza nafasi ya Ramos. Huoni ni kituko hicho...
Madrid timu kubwa haina akiba ya wachezaji.
kikosi cha pili kinajitengenezaga automatikali..

Muhimu ni tuingie tu semi final., sioni Juve wakitufunga pale Bernabeu., kikosi kipo poa tu, anakosekana Ramos tu, japokuwa ni muhimu ila hatotuadhiri kihivyo.,,Real Leo hatushindi labda tulinde ushindi wetu tu.