Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Lucas Vasquez amechoka kabisa yaani., na hii mikiki mikiki anayokutana nayo basi si shida kabisa
 
Ila Madrid now tupo kwenye form nzuri
Kabisa, vijana walicheza vizur sana, na walijituma kweli kweli., tatizo ni hatujapata mtu wa kufunga wakati Cristiano hayupo., Benzema amekuwa ni zaidi ya Mzigo kwa kweli, atafutiwe mbadala wake tu atembee
 
Kabisa, vijana walicheza vizur sana, na walijituma kweli kweli., tatizo ni hatujapata mtu wa kufunga wakati Cristiano hayupo., Benzema amekuwa ni zaidi ya Mzigo kwa kweli, atafutiwe mbadala wake tu atembee
Mbadala wake alikuwa Alvaro Morata, sema Zizzo nae utaifa utamponza bhanaa
 
Mbadala wake alikuwa Alvaro Morata, sema Zizzo nae utaifa utamponza bhanaa
Kuondoka kwa Morata siwezi kumlaumu Zidane, mwenyew hakutaka vijana wake waondoke, ila kuna muda unakuwa huna namna, mfano kesi ya James, pia Morata aliomba kuondoka mwenyew, na club ilimruhusu kwa kuwa kulikuwepo na mpango wa kumnunua Mbape, sema ndio hivyo demand ya Dogo ikasababisha club kupiga ule mpango chini., ndio hapo sasa inabid Benzema asaidiane na Borja, Kiukweli kabisa hakuna akiyekuwa anaamini kama Benzema angekuja kuwa garasa namna hii., hakuwa mzuri kihivyo ila sio kwa alivyo sasa., Ninadhan hata club imekuwa surprised na form ya jamaa.
Ninadhan club imeifunza kitu.,msimu ujao mapema tu inabid tuwe tumeshapata striker.,
 
Kuondoka kwa Morata siwezi kumlaumu Zidane, mwenyew hakutaka vijana wake waondoke, ila kuna muda unakuwa huna namna, mfano kesi ya James, pia Morata aliomba kuondoka mwenyew, na club ilimruhusu kwa kuwa kulikuwepo na mpango wa kumnunua Mbape, sema ndio hivyo demand ya Dogo ikasababisha club kupiga ule mpango chini., ndio hapo sasa inabid Benzema asaidiane na Borja, Kiukweli kabisa hakuna akiyekuwa anaamini kama Benzema angekuja kuwa garasa namna hii., hakuwa mzuri kihivyo ila sio kwa alivyo sasa., Ninadhan hata club imekuwa surprised na form ya jamaa.
Ninadhan club imeifunza kitu.,msimu ujao mapema tu inabid tuwe tumeshapata striker.,


Morata Sio Mtu Sahihi Wa Kuwa Striker Wa Kumtegemea Mkuu! Kama Munataka Mbadala Wa Benzema Basi Mtu Sahihi na Wa Pekee Duniani Kwa Sasa Ni Dyabala (Sina Uhakika Kama Jina nimeliandika Ndivyo.)
 
Back
Top Bottom