HT:dakika 35 za kwanza tumecheza vyema kwa kuwakabia juu ila dakika za mwisho hapa tukakosa nidhamu...hawa jamaa wametukamata kiungo na hii inapelekea kova kupiga kazi kubwa sana....kimsingi hapa mbele zile nafasi chache za counter tunazopata hatuzitumii vyema...tunaishia kupiga miguu kwa adui...benzema ni mzuri kupewa pasi ila siyo mzuri kutoa pasi....hapa mimi ningemtoa Ansensio nimuingize Isco...kisha nimtoe Luca aingie Bale...maana ukiangalia hawa jamaa wanapanda afu wanarudi wote wanne nyuma fast sana....nafikir inahitaji mtu wakukimbiza nakupunguza katikati hapo...