Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Niliona kila tukio yy ni kuonesha mikono juu kuomba penati. Ila alikutana na Refa mnonko wala alikuwa hamusikilizi..CR 7 bila madrid kupewa penalty magoli anayasikia kwenye bomba
Niliona kila tukio yy ni kuonesha mikono juu kuomba penati. Ila alikutana na Refa mnonko wala alikuwa hamusikilizi..CR 7 bila madrid kupewa penalty magoli anayasikia kwenye bomba
Hakuna cha kuchoka...huwezi kuwareboot hao ndo kilele chao tayari....Hakuna anayekataa kwamba players wengi wa RM wameisha. Marcelo at his prime ni dribbler mzuri kuliko beki yeyote yule kuwahi kutokea katika uso wa Dunia labda na Mbrazil mwenzake Alves.
Matatizo ni mengi, moja players wengi wwmechoka, pili Hakuna subs za maana, tatu Zizu anagoma kusajili anadai bado anawaamini players wake, wenzake Barca Pamoja na kwamba wanafanya vizuri ila bado wajasajili.
Mimi natabiri Zizu ataondoka game against PSG Kama tutavuliwa nguo pale pale Bernabeu, akipenya kwa PSG anaweza achwa Hadi mwisho wa msimu regardless of makombe. Come summer Lazima asajili
Alaf hii thread n ya real madrid tu,,nyie Barcelona mbna mnashoboka sanaANNOUNCEMENT:
Dear DSTV customers, please be adviced that all Real Madrid matches will be moved to Cartoon Network channel 301 in order to create space for serious games. We apologise for the inconvenience caused. Thank You
![]()

Real hana ubavu wa kumtoa PSGHakuna anayekataa kwamba players wengi wa RM wameisha. Marcelo at his prime ni dribbler mzuri kuliko beki yeyote yule kuwahi kutokea katika uso wa Dunia labda na Mbrazil mwenzake Alves.
Matatizo ni mengi, moja players wengi wwmechoka, pili Hakuna subs za maana, tatu Zizu anagoma kusajili anadai bado anawaamini players wake, wenzake Barca Pamoja na kwamba wanafanya vizuri ila bado wajasajili.
Mimi natabiri Zizu ataondoka game against PSG Kama tutavuliwa nguo pale pale Bernabeu, akipenya kwa PSG anaweza achwa Hadi mwisho wa msimu regardless of makombe. Come summer Lazima asajili
Really.....this is too much..ANNOUNCEMENT:
Dear DSTV customers, please be adviced that all Real Madrid matches will be moved to Cartoon Network channel 301 in order to create space for serious games. We apologise for the inconvenience caused. Thank You
![]()

Tuliza assholeAlaf hii thread n ya real madrid tu,,nyie Barcelona mbna mnashoboka sana![]()
![]()
Leo utApunguza hilo kalio!!!Mchawi kafiwa
Mkuu kalio lako lina mvuto hatari, ila mdomo unakuponza hiyo ndiho shida.Mchawi kafiwa
Ulikuwa una maana gani mkuu??Leo Bundi kahamia kwa wenzetu
Huyo keshalala kwa aibu.Ulikuwa una maana gani mkuu??