Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mkuu beki zetu tutazilaumu tu bure, kama strikers hawafungi tegemea kufungwa ama kudraw kama ambavyo inatutokea sasa.

Marcelo kapiga krosi zaidi ya 4 lakini wafungaji hakuna, Marcelo kapiga shot on target moja nzuri sana.

Tunaona Man city hawana clean sheets nyingi lakini kwa kua strikers wao wanafunga, goli wanazofungwa hata hazionekani
Tumeliwa kichwa Tena. Forwards na Marcelo wameisha vibaya, hawafai kuwa starters labda kuingia dakika za majeruhi.

Hapa Perez avute Neymar na world class players wengine wawili watatu. PSG atatuvua nguo UEFA na mwakani tunaweza isikia UEFA kwenye bomba tu
 
Mkuu beki zetu tutazilaumu tu bure, kama strikers hawafungi tegemea kufungwa ama kudraw kama ambavyo inatutokea sasa.

Marcelo kapiga krosi zaidi ya 4 lakini wafungaji hakuna, Marcelo kapiga shot on target moja nzuri sana.

Tunaona Man city hawana clean sheets nyingi lakini kwa kua strikers wao wanafunga goli wanazofungwa hata hazionekani

Ni kweli mbele hamna wamaliziaji kabisa wote wameisha, ila pia Marcelo sio mzuri kama zamani, ni muda replacement yake ianzwe kutafutwa.

Msimu huu tunaweza si tu kuondoka kapa bali kwa aibu kuu, tunaweza ondoka kwa kufungwa match nyingi zaidi na kudhalilishwa kila big match.
 
Tujikumbushe maneno ya Zidane kila pre-match press.

Bora Perez aingie sokoni mwenyewe kuliko haya maneno nina kikosi kizuri kumbe sub zenyewe za kina Lucas na Mayoral

Zizou's Pre-Match Presser:

"I believe in my squad. They are my values and I will defend them until the end. I believe in what I do and will keep going until the end, until they change me."

Reinforcements
"I don’t need anyone and that's that. I don’t want anybody. We have a squad, we started with them and I believe in my players."


 
Perez bora aamue mwenyewe kwenda kusajili world class player wawili au watatu kisha ampe order kuwachezesha apende asipende. Vinginevyo UEFA next year haitatuhusu hapa.
World class alosajili Perez na kulazimisha wachezeshwe ni Benzema ,huna macho au ?
 
Tujikumbushe maneno ya Zidane kila pre-match press.

Bora Perez aingie sokoni mwenyewe kuliko haya maneno nina kikosi kizuri kumbe sub zenyewe za kina Lucas na Mayoral



Kuwaamini vile vitoto Vasquez na Kovavic ni kukubali kushindwa. Barca is spending a fortune kununua world class players yeye yupo na vitoto vyake
 
IMG_20180113_220147.jpg
 
Madridiots timu zishawajulia....mnapenda sana macross sasa wapinzani wanakuwa makini kwenye box ka leo....hamna watu wakuweza kudrible mpira vzr na kuingia ndani ya 18 , uwezo anao kdogo isco ambaye naye akipata anakimbilia pembeni coz mshamzoeza....mibeki inapanda inajisahau kurudi inafikiri imekuwa winga hivi na matokeo yake counter attack kisha kamba.
Sioni Madrid hii ikinyanyua kwapa this season...
 
Madridiots timu zishawajulia....mnapenda sana macross sasa wapinzani wanakuwa makini kwenye box ka leo....hamna watu wakuweza kudrible mpira vzr na kuingia ndani ya 18 , uwezo anao kdogo isco ambaye naye akipata anakimbilia pembeni coz mshamzoeza....mibeki inapanda inajisahau kurudi inafikiri imekuwa winga hivi na matokeo yake counter attack kisha kamba.
Sioni Madrid hii ikinyanyua kwapa this season...
N kwel mkuu
 
Madridiots timu zishawajulia....mnapenda sana macross sasa wapinzani wanakuwa makini kwenye box ka leo....hamna watu wakuweza kudrible mpira vzr na kuingia ndani ya 18 , uwezo anao kdogo isco ambaye naye akipata anakimbilia pembeni coz mshamzoeza....mibeki inapanda inajisahau kurudi inafikiri imekuwa winga hivi na matokeo yake counter attack kisha kamba.
Sioni Madrid hii ikinyanyua kwapa this season...
Tatizo sio cross au kwenda pembeni tatizo ni umaliziaji. Umeangalia game leo? Unajua nia chances ngapi zimepotea ndani ya box? Ungekua umeangalia game usingeandika hizi pumba

CR pekee kamlenga goalie zaidi ya Mara tano ndani ya box hapo bado wengine. Total RM ilikua na 21 on target shots, so tatizo sio cross au wing tatizo ni umaliziaji
 
Tatizo sio cross au kwenda pembeni tatizo ni umaliziaji. Umeangalia game leo? Unajua nia chances ngapi zimepotea ndani ya box? Ungekua umeangalia game usingeandika hizi pumba

CR pekee kamlenga goalie zaidi ya Mara tano ndani ya box hapo bado wengine. Total RM ilikua na 21 on target shots, so tatizo sio cross au wing tatizo ni umaliziaji
Nimeangalia vzr sana....,yamkini kuliko ww...,let's go straight to the point....,
Kwan hizo chances zilitokana na nn??
Hivi ulimuona Suarez at the beginning of the season???? Alikuwa mbovu sana kwenye finishing....,je barca ilikuwa haipati matokeo???? Kwa sababu ina watu wenye uwezo wa kuhold mpira,kudribble vzr na kuingia nao ndani ya box......
Hata kwa mabeki waangalie Marcelo na carvajal kisha wacheki alba na Roberto....
Hawa wakwenu macross tu ndo yamejaa vichwani mwao....
Halafu krosi zenu nyingi leo zimezuiwa na mabeki...
Hakuna cha chances nyingi hapa...
 
Nimeangalia vzr sana....,yamkini kuliko ww...,let's go straight to the point....,
Kwan hizo chances zilitokana na nn??
Hivi ulimuona Suarez at the beginning of the season???? Alikuwa mbovu sana kwenye finishing....,je barca ilikuwa haipati matokeo???? Kwa sababu ina watu wenye uwezo wa kuhold mpira,kudribble vzr na kuingia nao ndani ya box......
Hata kwa mabeki waangalie Marcelo na carvajal kisha wacheki alba na Roberto....
Hawa wakwenu macross tu ndo yamejaa vichwani mwao....
Halafu krosi zenu nyingi leo zimezuiwa na mabeki...
Hakuna cha chances nyingi hapa...
Hakuna anayekataa kwamba players wengi wa RM wameisha. Marcelo at his prime ni dribbler mzuri kuliko beki yeyote yule kuwahi kutokea katika uso wa Dunia labda na Mbrazil mwenzake Alves.

Matatizo ni mengi, moja players wengi wwmechoka, pili Hakuna subs za maana, tatu Zizu anagoma kusajili anadai bado anawaamini players wake, wenzake Barca Pamoja na kwamba wanafanya vizuri ila bado wajasajili.

Mimi natabiri Zizu ataondoka game against PSG Kama tutavuliwa nguo pale pale Bernabeu, akipenya kwa PSG anaweza achwa Hadi mwisho wa msimu regardless of makombe. Come summer Lazima asajili
 
Back
Top Bottom