Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Habari ya siku mkuu? Heri ya mwaka mpya pia. Naona kule kwako ni neema tu. King ni mnyama mkatili.
Mkuu za mwaka mpya ni njema kabsa na tunashukuru kwa kuupokea japo tuaendelea kuupokea vizuri zaidi

Kuhusu mnyama mkali tena mkatili King Leo Messi yeye anaendelea kufanya mauaji kila siku na amesisitiza Balon dor waendelee kupeana yeye anaendelea kuchinja
 
He's affraid to spend money and buy a flop. I'm not a fan of Mourinho but sometimes I respect his decisions, that guy doesn't care, anybody can sit on the bench.
Napingana na wewe, kwa hali tuliyonayo ni muhimu kuvunja bank kununua wawili walio kwenye form kuja kuokoa jahazi, tatizo kubwa timu haifungi inawavuruga hata mabeki.
 
He's affraid to spend money and buy a flop. I'm not a fan of Mourinho but sometimes I respect his decisions, that guy doesn't care, anybody can sit on the bench.
Ni bora kununua mchezaji aje aflop kuliko kutonunua kabsaa huku tukitegemea sub za kina Lucas eti ndio zitusaidie.

Naona Zidane anapatana na Perez, angekua mwingine sasa hivi yangekua mengine
 
Tumeliwa kichwa Tena. Forwards na Marcelo wameisha vibaya, hawafai kuwa starters labda kuingia dakika za majeruhi.

Hapa Perez avute Neymar na world class players wengine wawili watatu. PSG atatuvua nguo UEFA na mwakani tunaweza isikia UEFA kwenye bomba tu
 
Back
Top Bottom