Hapana mkuu kuna peaks na down za player yoyote hopeful he gonna come backStupid Ronaldo, instead of fighting inside the box there he's asking for penalty.
Hii nalo la kujiuliza mm nilijua anauza ataleta kinda strike wa ajax kumbe anakaa na benzema , aki vile wanakera mm naona pochettino kitii itamfaa sanaNaendelea kulia na Zizou, kwanini ulimruhusu Morata aondoke?
Shukuruni Mungu msimu uliopita L enrike aliwapa vikombe viwili kwa maamuzi yake ya kindezi.It's been just 10 league games and we are already trailing by 8 points. But I'll never confuse a single defeat with a final defeat. And just because we're losing, doesn't mean we're lost.
[HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]
Kuwauza sio issue kutosajili replacement ya wachezaji ambao walifunga magoli 30 msimu uliopita ni kosa kubwa alilofanya Zidane kipindi ambacho CR7 hayuko kwenye form Morata na James walikuwa wanaisadia sana timuMorata alitusaidia sana Siku mbaya mbaya kama hizi hata James naye hakupaswa kuondoka nyakati hizi.
Bado mkuu ila performance yake ni mbaya sana sio ile iliyozoeleka au unabisha?
Zizou hakutaka kijana wake hata mmoja aondoke, alisisitiza sana hilo, ila kuwashikilia hao wajamaa against their wish ilikuwa ni kuleta mtafaruku ndani ya club, James alitoka kwa mkopo so atarudi, Morata club ilikaza sana ila mwishowe ikabid tumwachie, safari bado ni ndefu tutakaa sawa tu., Ngoja kwanza tuone hapo Wembely tutaenda kufanya nin.Zizu kaacha Morata na James waondoke kawaacha kina Benz na Vasquez. Smh