Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Players called for the match against Manchester United

DGnFXmvWsAE6PQq.jpg:large
Safii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwamba ni sisi tumeamua kupiga huu uzi, ama ni United wameamua kuvaa uzi wa nyeupe?
Anyway kwa vyovyote vile tunatakiwa tuchukue ndoo yetu, wenzao Juve walikaza mwisho wa siku walituelewa, sasa ni zamu ya hawa watoto wa Mou

Ni makubaliano ya clubs zote mbili.

Kuchukua ndoo sio issue kwangu, nataka turudishe heshima kwa kishindo kesho. Ni dharau kubwa sana baadhi ya watu kuamini tunaweza kufungwa na timu kama waliyonayo United.
 
The boy loves our club. If he scores many goals this season, he'll be a starter at the Bernanéu next 2 years. I guess
Dogo ninamkubali hadi kesho, nilianza kumfuatilia kuanzia anakipiga Castilla, ni kwa vile tu hakupata nafasi nyingi last season lakini ni kijana mpiganaji kweli na anajituma sana, hope kuna siku atavyaa tena uzi mweupe.
Ninadhan kama Zidane alijua mapema kuwa Morata angeleta zengwe la kuondoka huyu Dogo angebaki.
 
Back
Top Bottom