Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

DBbdZvwXUAEFDZk.jpg
 
Nipo sanaa,kweli aiseee siku mingi sana nilidili zaidi na matatizo yetu ya Old Trafford,.... pacha wako yupo wapi simuonii?
Mtani siku hizi huonekani....nakusalimu katika jina la upendo mwingi mwingi.....uwe unakuja kusalimia siku moja moja...
 
Mtani siku hizi huonekani....nakusalimu katika jina la upendo mwingi mwingi.....uwe unakuja kusalimia siku moja moja...
Mtani nashukuru sana yaani hizo salamu zimepenya kabisaa,aisee kwanza hongera mwaka wenu huu tena yaani mnatesa nyie tuuu!! Mtani baba Jesca anabana sana lakini siku moja moja kama hivi tutajitahidi kuja.
 
Kumbe weweeee!! Ningekupita barabarani nakukanyaga kumbe kaka yangu wa damu kabisaaa!! Una majanga gani wewe!!! Kwanza hongera !!! Super cup itakuwa super kweli !! Tumerudi kwa mwendokasi!!

Ndio mimi bana. Aisee mna mkosi sana kukutana na sisi, maana ndoto zenu tunazitia doa mapeeema kabisa. Mtajuta siku hiyo. Sina bifu na nyie, ila yule mreno wenu aliyetaka kutuharibia club.
 
Ndio mimi bana. Aisee mna mkosi sana kukutana na sisi, maana ndoto zenu tunazitia doa mapeeema kabisa. Mtajuta siku hiyo. Sina bifu na nyie, ila yule mreno wenu aliyetaka kutuharibia club.
Hahaha mie sisemi ila kumbuka tu kuna wakati sisimizi anaua tembo!!!
 
Mtani nashukuru sana yaani hizo salamu zimepenya kabisaa,aisee kwanza hongera mwaka wenu huu tena yaani mnatesa nyie tuuu!! Mtani baba Jesca anabana sana lakini siku moja moja kama hivi tutajitahidi kuja.
Ahsante sana mtani.....huu mwaka ni kma vile mwezi wa 12....raha kila siku....baba jesca nasikia ni real...kesho kutwa anaweza sema mapumziko hata ya wafanyabiashara
 
"In the first half we played beautifully then Real Madrid pressed the accelerator." - Massimiliano Allegri.

18814300_1616727301685357_4191718447499904243_n.jpg
 
Back
Top Bottom