Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Vijana walipigana sana sana, ilifika kipnd hata tukifungwa tuliamini kuwa vijana watarekebisha mambo!! Na kweli,this season hawa vijana walitufundisha kuwa mpira ni dakika 90,!! Vamos Real!!
hahaha
kuna mechi na Sevilla nakumbuka nilienda hadi kulala but we ended up 3-3, that was dope.

ila nilikuwa naona kabsa this year kila factor ilikuwa uoande wetu kwa La liga
 
dedc23fcbb0e1eaea81a6befe40e1438.jpg


Mashabiki wakisubiri ndege toka Malaga itue Madrid shangwe ziendelee
 
Back
Top Bottom