Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

wakuu nikiwapa pole ntakuwa mnafiki maana mimi ndiye niliyewapiga. ila nasikitika kuwambia kuwa msimu huu hambebi kombe lolote [HASHTAG]#hahamadrid[/HASHTAG].
Kwanini Madrid hachukui kombe lolote kisa mnaongoza ligi au?

Is too late man,zipo sababu nyingi Madrid anachukua uefa na la liga
 
Kwanini Madrid hachukui kombe lolote kisa mnaongoza ligi au?

Is too late man,zipo sababu nyingi Madrid anachukua uefa na la liga
la liga mna mechi tight sana. valencia, celta na sevilla. mba mechi mbili Ramos. UEFA haitabiriki, naona kabisa ATM wakikaza sana.
 
la liga mna mechi tight sana. valencia, celta na sevilla. mba mechi mbili Ramos. UEFA haitabiriki, naona kabisa ATM wakikaza sana.
Valencia hana kitu Siku hizi na pia sevilla wamedrop kiwango. Mechi ninayoihofia labda ya malaga.
 
Game ya jana ilikuwa back to back, tulikuwa all over them in first 20 minutes. Benzi ndio katuangusha. Tukiongea kuhusu overall game haikuwa tamu kivile timu zilicheza kiupinzani bila kiwango. Mimi ni Madrid hasta la muerte lakini tukiongea sincerely kwenye wachezaji 22 uwanjani Messi peke yake ndio alikuwa on fire. Hii game kama aliikamia vile, kaibadilisha individually la sivyo matokeo yangekuwa tofafauti. We are still in competition and anything can happen, let's wait and see. Barca lazima wafurahi maana walikuwa wanafukuza table all season.
 
wakuu nikiwapa pole ntakuwa mnafiki maana mimi ndiye niliyewapiga. ila nasikitika kuwambia kuwa msimu huu hambebi kombe lolote [HASHTAG]#hahamadrid[/HASHTAG].
UEFA tunabeba kwa mara ya pili mfululizo halafu kule LALIGA tena, CR7 Ballon d'or yake.
 
Hallaa Madrid! ndoo zote mbili zetu LALIGA na UEFA nani wa kutuzuia?
Mtaishia kufurahia tu kutufunga safari hii lakini ndoo mtaziona kwa mbaliii, heheee
 
jumatano tunacheza na Depotivo pale Estadio Riazor nayo n mechi ngumu


Estadio Riazor ni ngumu kiaina, lakini Deportivo wamekaa kwenye reli ya Real Madrid aliyejeruhiwa. Mimi sasa naamini tutashinda every game for the rest of the season. Bao la Jana la dakika ya 92 ni woke up call.
 
Chin-up Lads! Winning and losing is a part of the game. What we need to do is think outside of the box. What is worse for us is that Ramos is out for the next game and we have absolutely no one to defend.
Bale getting injured was a huge game changer as our defense was actually doing pretty well at the start of the game. He was coming back and switching wings was all over the place.
We played 120 minutes against Bayern there are surely to be tired legs for this game. As soon as we lost the ball in the other half and I saw Marcelo out of his position, the goal was inevitable.
Let's move forward with the thought process of not everything is lost but rather we still have a chance to win the title this year.
 
Playing an injured Gareth Bale was a very bad decision tbh, if Asensio had started the game we might've witnessed a different result.
 
This Lad was heavily missed yesterday

18118977_1575518435806244_3301768556803053241_n.jpg
 
Zidane: "We thought we could score a third goal.Equalising, with 10, and then going to press very high, is dangerous, and we paid for that."

Very poor management, he's admitting it himself.
 
- Varane ❌
- Pepe ❌
- Ramos ❌

Nacho Fernández Iglesias is our only Center back for now
.
1f630.png
 
Estadio Riazor ni ngumu kaona, lakini Deportivo wamekaa kwenye reli ya Real Madrid aliyejeruhiwa. Mimi sasa naamini tutashinda every game for the rest of the season. Bao la Jana la dakika ya 92 ni woke up call.


We have to keep focused, every game is a final now and the good this is we are having a game in hand VS Celta
 
Back
Top Bottom