Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Benzema ndio bom linalomlostisha zidane, sijui anampendea kitu gani?! Kashajifungulia mlango wa kutokea kwa kuendekeza Ufaransa wake!
 
Madrid leo hawakuwa na ile discipline yao ya kila siku,uzembe wetu umemrudisha messi kwenye ubora presha itakuwa kubwa yani sasa kila gemu tushinde mweh
 
bro umewahi shabikia timu ikafungwa!!? hasa unayo ipenda!!?
unaweza kukuta wote hamja experience kila mtu anacho feel inaumaaaaa kufungwaaaaa
Mkuu I do feel the pinch, ila kuna vitu vya kulinganisha. Hivi mfano tuseme wewe ni mtoto na upo na Baba yako mnaangalia hii game alafu wewe labda ukawa unashabikia Barca mzee anashangilia Madrid, then baada ya kufungwa Mshua akachana mistari kana ya jamaa hapo juu tena kwa kumaanisha kweli kwamba ni bora angedanja mama yako, machumgu kwake yangekuwa kidogo kuliko ilivyofungwa Madrid.

Swali: Wewe kama mtoto au pengine ukute na mama yako yupo hapo, mngejisikiaje au mngefanya nini?
 
Mkuu I do feel the pinch, ila kuna vitu vya kulinganisha. Hivi mfano tuseme wewe ni mtoto na upo na Baba yako mnaangalia hii game alafu wewe labda ukawa unashabikia Barca mzee anashangilia Madrid, then baada ya kufungwa Mshua akachana mistari kana ya jamaa hapo juu tena kwa kumaanisha kweli kwamba ni bora angedanja mama yako, machumgu kwake yangekuwa kidogo kuliko ilivyofungwa Madrid.

Swali: Wewe kama mtoto au pengine ukute na mama yako yupo hapo, mngejisikiaje au mngefanya nini?
hahahaha
tek it easy mwanangu,sidhan kana hayo maneno anaweza kuyatamka sehem mbaya
 
Back
Top Bottom