Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mkuu kufungwa inauma asikuambia mtu, loo, sijui hawa wenzetu team zao zinavyo fungwa mara kwa mara sijui huwa wanakuaga katika hali gani!! Hapa ninadhan maumivu yataisha tukimaliza game ya Deportivo.
daah!! yaan leo hata mambo yangu sja fanya kwa raha, lakin ndio bas vile mkuu. timu ndogo ztakuwa zshazoeaga kaina at least, hata demand haiwag kubwa ki hivo
if we dont take la liga ( i hope we will take t) yesterday will be the day la liga got away
 
daah!! yaan leo hata mambo yangu sja fanya kwa raha, lakin ndio bas vile mkuu. timu ndogo ztakuwa zshazoeaga kaina at least, hata demand haiwag kubwa ki hivo
if we dont take la liga ( i hope we will take t) yesterday will be the day la liga got away
pole sana man. kumbe bora ya Lucho na Gomes kuliko Zidane na Benzema. Morata kacheza dk chache ila anagoli 12. nafikiri kwenye uiano wa goli kwa dk atakuwa anaongoza kwenye Laa Liga.
 
pole sana man. kumbe bora ya Lucho na Gomes kuliko Zidane na Benzema. Morata kacheza dk chache ila anagoli 12. nafikiri kwenye uiano wa goli kwa dk atakuwa anaongoza kwenye Laa Liga.
ahasante boss
sijajua kwa nn zidane anamkubali jamaa he is totaly off this year.
lets see kama ata endelea kumpanga, we must find other way siyo BBC tena
 
daah!! yaan leo hata mambo yangu sja fanya kwa raha, lakin ndio bas vile mkuu. timu ndogo ztakuwa zshazoeaga kaina at least, hata demand haiwag kubwa ki hivo
if we dont take la liga ( i hope we will take t) yesterday will be the day la liga got away
Kuanzia leo ntakuwa nakuheshime, umeona mbali sana mkuu, na fixture ya madrid si mchezo mbele yake.
 
Kuanzia leo ntakuwa nakuheshime, umeona mbali sana mkuu, na fixture ya madrid si mchezo mbele yake.
hahaa! imebidi nicheke japo najitonesha maumivu ya jana, sku hizo jiran ulikuwa huniheshim!? mi huwa nakuheshim sana jirani!! sema ushabiki ndio labda unakuwaga mwingi kiaina.
 
Hala madridista..bado nafasi ipo endapo ukabaji utakuwa wa nidhamu.
 
ahasante boss
sijajua kwa nn zidane anamkubali jamaa he is totaly off this year.
lets see kama ata endelea kumpanga, we must find other way siyo BBC tena
Ishu ya Benzema mtamlaumu bure Zidane yule kijana ni kipenzi cha Perez, hajaanza leo kuboronga kuna kipindi alishuka kiwango sana lakini Perez akagoma kumuuza pamoja na kelele kibao....na usije shangaa anaongezewa mkataba tena mpaka anazeekea pale.....

Ningeshauri tu awe anapumzishwa game zikimkataa kama juzi

All in all natambua mchango wake katika timu
 
ba1b30b293679421e5bc4f1b3f3f0770.jpg
 
Ishu ya Benzema mtamlaumu bure Zidane yule kijana ni kipenzi cha Perez, hajaanza leo kuboronga kuna kipindi alishuka kiwango sana lakini Perez akagoma kumuuza pamoja na kelele kibao....na usije shangaa anaongezewa mkataba tena mpaka anazeekea pale.....

Ningeshauri tu awe anapumzishwa game zikimkataa kama juzi

All in all natambua mchango wake katika timu
daah!! yan bos acha tu, ubaya ni hatujui really whats going on in the club
 
Real Madrid Remaining LA liga Fixtures:

- Deportivo LA Coruna [A]
- Valencia [H]
- Granada [A]
- Sevilla [H]
- Malaga [A]
- Celta Vigo [A]

Champions League:
- Semifinal 1st leg
- Semifinal 2nd leg
- Final (If qualify)

We have potentially 8 of not 9 remaining games which will decide our whole season. We need to play every game as a final. The Valencia and Sevilla games are home which would be an advantage, another difficult game might prove to be Malaga away we all know how Kameni. Yes we are in the semis of the CL but I really want Real to focus on the league this year!

Our players need to pitch in their best performances. Varane will be back before time which will be a bonus. We need not to bottle this again otherwise it will be the same story every season that we loose the lead in the final matchdays and go on to loose the league.

We are Real Madrid and don't you have a whisker thin doubt on our abilities, mark my word, we will clench [HASHTAG]#LaLiga[/HASHTAG] this year!

18118751_1576250209066400_3972872682936735533_n.jpg
 
Back
Top Bottom