Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Pamoja na Ronaldo kufunga mabao muhimu lakini ameanza kukosa mengi
Wewe Madrid?
nisaidieni link wakuu ya pc. goatdee inanigomea.
yeah tumecheza fresh tu kukosa ndio sja kuelewa elewa ila mengine fine kabsaSio mbaya sana, nilitegemea utulivu vijana waliounyesha mpaka sasa, kipnd cha pili ni cha kumaliza game sasa, Kroos Leo hatawakosa, bado tu mambo hayajakaa poa.
So far Dani na Marcelo wamefanya kazi kubwa sana.
Ile alkikosea tu timing, alitakiwa atoe pass mapema kabisa, kusogea nao ilikuwa ndio kosa, anyway hope Zidane ataongea na vijana wake ili warekebishe makosa kipnd cha pili.kuna moja ronaldo kafanya uchoyo nime mmind kshenz yaan
Unasemaaaa??Real wanajaribu kuwaiga Manutd walivyocheza na Chelsea lakini viwango vyao chini ya Manutd
Ile alkikosea tu timing, alitakiwa atoe pass mapema kabisa, kusogea nao ilikuwa ndio kosa, anyway hope Zidane ataongea na vijana wake ili warekebishe makosa kipnd cha pili.
Me ndio CR7 ninayemjua yule selfish onekuna moja ronaldo kafanya uchoyo nime mmind kshenz yaan