pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Nategemea leo hapa katikati kwetu patakuwa na umakini wa hali ya juu na mpira hautakuwa na zile zakukimbiza sanaaa.....kwa sababu kross,modric na isco wapo hapo
Baada ya kazi nzuri na umahiri alioonyesha dhidi ya Gijon, Isco amepewa nafasi ya kuanza Leo, hope ataendeleza yale makali alioonyesha kwnye game uliyopita. [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]!!
Nategemea leo hapa katikati kwetu patakuwa na umakini wa hali ya juu na mpira hautakuwa na zile zakukimbiza sanaaa.....kwa sababu kross,modric na isco wapo hapo
ni kama sisi ndio tunacheza kwa kuviziaHawa jamaa naona tunawapa kiburi kama vile tupo ugenini