Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

FULL TIME: Sporting 2-3 Real Madrid (Cop 14', Vesga 50'; Isco Alarcon 17', 90', Alvaro Morata 59'). [HASHTAG]#RMLiga[/HASHTAG] [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]

C9d0Fo5XYAAoQl9.jpg:large
 
Duu!!! Ashukuriwe sana Isco, hata hivyo alikuwa kwenye kiwango cha juu kabisa Leo!! huku kwetu umeme ulikatika so dk za mwisho sijaangalia man.
Vijana wanaonyesha wapinzani upande wa pili wa Real Madrid
tumejitahidi sna kushinda last minutes msimu huu
 
Sure Mkuu, na hiyo ndio siri ya mafanikio yetu msimu huu, siku hiz kama tukiwa nyuma mpaka dk ya 80, bado hua ninakuwa na matumaini kuwa tutapata goli!!


Siku hizi kuwafunga Real Madrid unatakiwa usurubike kwa dakika 90. Waulize Celta Vigo, walitutoa Copa Del Rey lakini habari waliipata, yaani mpira ulivyoisha wachezaji badala ya kushangilia walilala chini
 
Isco alikuwa analamba vyenga hadi nyasi. Eti wale jamaa wa upende wa pili ndio wanasema wanasubiri hii summer akiwa free player watamsajiri bure. Kweli kuna watu wanajua kujitekenya.
Leo Isco alikuwa ni moto wa kuotea mbali!! kuna muda alisepa na kijiji sema bahati mbaya ile move haikutupatia goli, Bayern wana bahati kijana hakupewa nafasi, sasa wasubirie hiyo J4, awachazeshe disco lake.
Hao waache waendelee kujitekenya, kijana bado yupo yupo sana tu pale Bernabeu!!
 
Siku hizi kuwafunga Real Madrid unatakiwa usurubike kwa dakika 90. Waulize Celta Vigo, walitutoa Copa Del Rey lakini habari waliipata, yaani mpira ulivyoisha wachezaji badala ya kushangilia walilala chini
Kwanza hiyo amsha amsha yake inakuaga sio ya mchezo, huo ndio ule wakati unamkuta Sergio Ramos muda wote yupo kwenye box la wapinzani, Casemiro ndio anarudi nyuma, Hapo utapigwa mpira mpaka mtu aombe maji, na kinachofuatia hapo ni goli!! tukikukosa basi unalala na viatu!!
 
Zizou's Post-Match Presser:

"With the squad that we have we can cause problems for any team, I'm happy, more than anything because we played well from the first to the last minute."

"It´s in our DNA to fight until the end at Real Madrid and we´ve done that today".

Praise for Isco
"He had a great game and deserved it. He got the three points for the team with his second goal. I´m happy and Real Madrid is the place for him."

"He's got the character to go out and do what he did today. He's a great player and he's proving that."

Unfair on Isco?
"We've got 24 players and it'll always be the case that I'm unfair on those who don't play. That's the challenge in my position: having to leave very good players on the bench. I have to make decisions."

Coentrão
"I thought he did well and I'm happy because he needed to play and he performed well. He did just what the team needed him to. I'm delighted that he's here with us. Now he again feels important and that's positive for him and the group".

Sporting's second goal
"They all lost concentration, we weren't switched on for the free-kick. They had two chances and scored both. We lacked a bit more of a clinical touch in front of goal".


17951782_1565061020185319_2862547119905059170_n.jpg
 
Back
Top Bottom