but si mbaya The Stars seems to be on our side this yearIlikuwa sio bahati tu Mkuu, team imecheza vizur sana, kasoro tu dk 15 za mwisho!!
Oblak ninadhan ndio amebadili matokeo, kafanya vizur sana. Sikupenda hii droo ila ndio ilikuwa destiny yetu .
Naombea tatizo lisiwe kubwa kwa sababu ni muhimu mno mechi dhidi ya B.Munich awepo.Pepe was taken to the hospital to undergo medical tests. [Cadena Ser]
halafu alikuwa on fire kweli kweli leo na kaumia kama utani vileNaombea tatizo lisiwe kubwa kwa sababu ni muhimu mno mechi dhidi ya B.Munich awepo.
Naombea tatizo lisiwe kubwa kwa sababu ni muhimu mno mechi dhidi ya B.Munich awepo.
Kabisa Mkuu!! huu mzigo Safar hii tunasepa nao!! Shukran za kipekee ziwaendee vijana watiifu wa Malaga!! Wabarikiwe sana.but si mbaya The Stars seems to be on our side this year
i hope we take la liga kwa kweli
Kweli kaka, jamaa atakuwa nje ya uwanja mwezi mzima, ukimtoa na Varane ambaye na yeye ni majeruhi tayar, ina maana Zidane atakuwa anawategemea Nacho na Ramos tu kama centre backs, kazi ipo kweli kweli., Hapo kuna baadhi ya game itabid kijana mmoja acheze, sasa sijui Zidane atamchukua nani pale Castilla.Pepe nasikia kavunjika mbavu moja. Kwahiyo na Bayern hakuna Pepe wala Varäne, huu ndio wakati Nacho anatakiwa aisaidie timu. Na itakuwa kwa muda mrefu sana.
Duh, taarifa mbaya sana hii. Inabidi Nacho,Ramos na Carvajal wacheze kwa nidhamu kubwa mno huku Marcelo akipanda kwa tahadhali.Pepe nasikia kavunjika mbavu moja. Kwahiyo na Bayern hakuna Pepe wala Varäne, huu ndio wakati Nacho anatakiwa aisaidie timu. Na itakuwa kwa muda mrefu sana.
Malaga wamekuwa msaada wetu sana msimu huu!! tutawafikiria tukichukua [HASHTAG]#Laliga[/HASHTAG] HahahahaBig up CF Malaga.
Marcelo asipopeleka msaada kule mbele twafaaaa! Casemiro najua atazuia hali hiiDuh, taarifa mbaya sana hii. Inabidi Nacho,Ramos na Carvajal wacheze kwa nidhamu kubwa mno huku Marcelo akipanda kwa tahadhali.
Mbaya kabisa Mkuu, nilidhan ilikuwa ni jambo dogo sana, ila loo, ndio hivyo jamaa atakuwa nje karibia mwezi mzima.Duh, taarifa mbaya sana hii. Inabidi Nacho,Ramos na Carvajal wacheze kwa nidhamu kubwa mno huku Marcelo akipanda kwa tahadhali.
Kweli Mkuu!! Morata anastahili si kupewa dk nyingi tu za kucheza, anatakiwa awe anaanza, licha ya hizo Dakika chache anazopewa, bado amekuwa active zaid ya Benzema!!Ila napenda Morata awe anapewa dkk nyingi zaidi ya Benzema na sub ya Bale apewe Asensio badala ya Lucas-kwa baadhi ya mechi kama ya jana .
Kweli kaka, jamaa atakuwa nje ya uwanja mwezi mzima, ukimtoa na Varane ambaye na yeye ni majeruhi tayar, ina maana Zidane atakuwa anawategemea Nacho na Ramos tu kama centre backs, kazi ipo kweli kweli., Hapo kuna baadhi ya game itabid kijana mmoja acheze, sasa sijui Zidane atamchukua nani pale Castilla.
Duh, taarifa mbaya sana hii. Inabidi Nacho,Ramos na Carvajal wacheze kwa nidhamu kubwa mno huku Marcelo akipanda kwa tahadhali.
Mmh!! Hili limeshakuwa tatizo sasa, hapo itabid vijana wa Castilla waje kutusaidia, hakuna namna nyingine, bahati mbaya kila game ni muhimu, na uwezekano wa akina Ramos kutoka uwanjani bila card ni mdogo sana!!Breaking news ni kwamba Pepe atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili au zaidi. Varäne yeye ndio tutamkosa kwa mwezi mmoja. Habari mbaya zaidi ni kwamba, Nacho na Ramos ni one yellow card away from suspension. Sasa hii beki yetu Zizou ataipangaje!