Tumeshikwa kiungo cha kati kweli kweli!! hii game alitakiwa aanze Kovacic sababu kidogo anaweza kukaa na mpira na kufungua mmoja wawili!! sasa kwa Leo anayeweza kukaa na mpira ni Modric peke yake, Bale bado hayupo kwenye kiwango chake, so hata mipira ikienda mbele haikai. Tupo kwenye wakati mgumu kweli kweli.Daaah
Hii mechi Kama sielewi elewi yaan
sijaona muda mrefu mkiwa mmeshikwa hivi. sema hawa madogo striker wao tegemezi ni majeruhi. mnaweza shinda sababu BBC inahitaji chances chache tu kupata goli.Daaah
Hii mechi Kama sielewi elewi yaan
sijaona muda mrefu mkiwa mmeshikwa hivi. sema hawa madogo striker wao tegemezi ni majeruhi. mnaweza shinda sababu BBC inahitaji chances chache tu kupata goli.
Ki ukweli naona kule kwenye BBC hawafanyi kazi yao, wako diaconnected hii ina wapa kazi kina Modric kwani wanafanya run ups mpaka zisizo na ulazoma wafanye wao.Tumeshikwa kiungo cha kati kweli kweli!! hii game alitakiwa aanze Kovacic sababu kidogo anaweza kukaa na mpira na kufungua mmoja wawili!! sasa kwa Leo anayeweza kukaa na mpira ni Modric peke yake, Bale bado hayupo kwenye kiwango chake, so hata mipira ikienda mbele haikai. Tupo kwenye wakati mgumu kweli kweli.
Hapo Zizou asicheke na mtu kabisa, kama kuna mtu anaona hayupo poa amtoe tu. Heri lawama kuliko fedheha
Shikamoo kaka nimestuka usingizini naomba matokeo kwetu kigilagila umeme hamnaAaah
Jamaa walituwahi mwanzoni
We have picked a very bad day to loose.
Sema siyo mbaya bado twaongoza naechi mokononi
Iceman 3D nitakufundisha trend ya ku predict score umeiona hii posta niliitoa since last weekNasikia next match sunday na Villareal
Iceman 3D nitakufundisha trend ya ku predict score umeiona hii posta niliitoa since last week
HahahahaShikamoo kaka nimestuka usingizini naomba matokeo kwetu kigilagila umeme hamna
Mpira bado dk 90 ni nyingiHahahaha
Nimeeenda kulala bro
Nadhani kesho tutaongea vzuri
Mkuu vipi? Nyumba yako inaungua unaangalia tu??Hahahaha
Nimeeenda kulala bro
Nadhani kesho tutaongea vzuri
Nimelala kwanzaMkuu vipi? Nyumba yako inaungua unaangalia tu??