Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #22,441
Jamaa amekuwa kimeo si kawaida, hata yeye na golikipa anakosa? si maajabu hayo!!
Bora angetoa pasi tu. Kroos na Morata walikuwa kwenye open net position.
Jamaa amekuwa kimeo si kawaida, hata yeye na golikipa anakosa? si maajabu hayo!!
Hahaha, mwenyew nimeshashtuka man, hawa wajamaa wanabet!! haiwezekani akafanya uzembe kama kule!! Ashukuriwe Mungu golini alikuwepo Navas, angekuwepo yule rafiki yako tungelia man!!Varane amebet kudadeq
dah! nilimsahau Morata, the witch is out.niko siti ya nyuma hapa hapa ntakuwa nawavodoo BBC. Aduriz yupo?
![]()
Kwa mbinde mnoo..ila tushukuru hata kwa kidogo tulichopata.La Liga Table after tonight's Matches:
![]()
Mkuu, hii team bado kabisa, kama Zidane hana plan B hiv, sababu ni Modric na Casemiro tu hawapo ila team inacheza ajabu hivyo, mfuko umekuwa ule ule ni lazima mipira ipitie pembeni, wakati tuna mafundi wa penetration pass hapo, pia Bale anaweza kucheza nyuma ya washambuliaji, ila jamaa amekariri mipinga kupitia pembeni tu!!More incomplete pass, very sad to Madrid standards.
Yeye alikuwa anafikiria kufunga tu bila kuzingatia sehemu aliyokuwa!! Anaonyesha bado hajiamin, akiendelea kucheza akifikiria media atapata sana shida, akichukulia poa atarudi kwenye makali yake!!Bora angetoa pasi tu. Kroos na Morata walikuwa kwenye open net position.
Mkuu, hii team bado kabisa, kama Zidane hana plan B hiv, sababu ni Modric na Casemiro tu hawapo ila team inacheza ajabu hivyo, mfuko umekuwa ule ule ni lazima mipira ipitie pembeni, wakati tuna mafundi wa penetration pass hapo, pia Bale anaweza kucheza nyuma ya washambuliaji, ila jamaa amekariri mipinga kupitia pembeni tu!!
Yeye alikuwa anafikiria kufunga tu bila kuzingatia sehemu aliyokuwa!! Anaonyesha bado hajiamin, akiendelea kucheza akifikiria media atapata sana shida, akichukulia poa atarudi kwenye makali yake!!
Hiv ni kweli Zidane haoini hawa BBC wanachofanya huku uwanjan? na kama anawaona mbona hachukui hatua yeyote? au anawaogopa?Ronaldo leo kaua timu, kaharibu pasi mwanzo mwisho. Bale umaliziaji wake hakuna umakini, na huyu Benzema asaidii kucheza na timu anasubiri mipira ije tu, na ikipotea kamaliza anasubiri tena.
Penetration Icso na Kovacic wamejaribu sana sema hawa wazee wetu niliowataja hapo juu ndio lilikuwa tatizo kubwa.
Kweli Mkuu, yana mwisho haya, muda mwingine unaweza kuomba mtu apate majeruhi ili wengine wacheze, ila kufanya hivyo ni kuumiza team, waache waendelee kuruka ruka ikifika wakati watakaa bench tu!!Hakuna kitu kinaniuma kama mchezaji kuwa untouchable. Yeye ndio alitakiwa aende bench kabla ya Isco, sema angetolewa ingekuwa drama mpaka basi. Lakini poa, yote yana mwisho tu haya!
Kweli..tuna master wa pass kama Kroos bado Zizou analazimisha mambo ya winga tu.Mkuu, hii team bado kabisa, kama Zidane hana plan B hiv, sababu ni Modric na Casemiro tu hawapo ila team inacheza ajabu hivyo, mfuko umekuwa ule ule ni lazima mipira ipitie pembeni, wakati tuna mafundi wa penetration pass hapo, pia Bale anaweza kucheza nyuma ya washambuliaji, ila jamaa amekariri mipinga kupitia pembeni tu!!
Hahahahhahahahahhahahah...angekuwepo yule kiko aisee ile ni nyavu bila shurutiHahaha, mwenyew nimeshashtuka man, hawa wajamaa wanabet!! haiwezekani akafanya uzembe kama kule!! Ashukuriwe Mungu golini alikuwepo Navas, angekuwepo yule rafiki yako tungelia man!!