Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #22,361
ATM amechezea kichapo Leo, ni wakati wetu sasa wa kuweka gap la point 3 na hawa majirani!! Hope vijana wa Zidane wamepata hii habar njema!!
Bilbao leo wetu. Tonight we'll be the sole league leaders.
