Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

FULL TIME: UD Las Palmas 2-2 Real Madrid (Tana 38', S. Araujo 85'; Marco Asensio10 33', Benzema 67'). [HASHTAG]#RMLiga[/HASHTAG] [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]

CtJW5j4WcAAzyAk.jpg:large
 
Kwa ujumla timu imecheza vibaya....yaan hatujacheza kama tunashindana...tunakuwa tunaenda kucheza ili kukamilisha ratiba....
Kama Zizou hatademand ushirikiano kwa hawa forwards wetu hatutafika mahali!! angalie jinsi ya kumchezesha Bale, bado anategemea kupiga krosi tu, tuna kikosi kizur sana kwa kweli!!
Sioni sababu ya kushumbuliwa na hiv viteam!!
 
Kama Zizou hatademand ushirikiano kwa hawa forwards wetu hatutafika mahali!! angalie jinsi ya kumchezesha Bale, bado anategemea kupiga krosi tu, tuna kikosi kizur sana kwa kweli!!
Sioni sababu ya kushumbuliwa na hiv viteam!!


Kule mbele always unaweza ukafanya changes, lakini hii game mi nalia na beki tu, magoli yote mawili tumefungwa kwasababu marking mbovu.
 
Yaani ni upumbavu Navas yuko mzima unaweka pazia
Ni vizur Zizou akajifunza bado mapema kabisa, hatutaki mambo ya kukisia, mbona wakati anafika alipanga team yake vizur tu, pale kati tulizidiwa ila Kroos na Modric walicheza vizur sana, tatizo tunakosa umakini tukifika final 3rd ya adui, ubinafsi mwingi na kukosa umakini!! wajamaa wanajipigia tu!! sasa hii presha ya kuongoza league kwa point moja tutaiweza?
 
Back
Top Bottom