Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Nacho with a "Marcelo-esque" penetration. Asenso with the rebound from a header to score Real Madrid 1st goal tonight
 
Udhaifu ninauona hapa ni kuwa tunawapa nafasi kubwa sana hawa jamaa....yaan angalia distance ya mtu na mtu wao wakiwa na mpira halafu uangalie na sisi utaona kuna gap kubwa sana...yaan tunakuwa tunakabana wenyewe kwa wenyewe
 
Halafu timu inaonekana haipo serious kabisa...yaan tukiporwa mpira tunatembea jamaa wanatengeneza nafasi
 
Varane's wrong timing to clear the ball gave Tana too much space to find the bottom corner. We have finally conceded an away goal in La Liga since 23rd April
 
Halafu timu inaonekana haipo serious kabisa...yaan tukiporwa mpira tunatembea jamaa wanatengeneza nafasi


Man, we can't keep possession at all. Yaani wakichukua mpira wanataka kuwahi golini wakafunge, hakuna ile build up tulioizoea. Hawa jamaa wako kwao, tusipoangalia tunaacha points hapa. Ngoja Zizou aonngee na watu wake.
 
Udhaifu ninauona hapa ni kuwa tunawapa nafasi kubwa sana hawa jamaa....yaan angalia distance ya mtu na mtu wao wakiwa na mpira halafu uangalie na sisi utaona kuna gap kubwa sana...yaan tunakuwa tunakabana wenyewe kwa wenyewe
Jamaa wana watu 4 kati kati, sisi yupo Modric na Kroos tu, Asensio kama anafikiria ku attack zaidi. So kidogo tunapata shida tu hapo, anaweza akatoka Bale akaingia Isco ama James, sababu Bale ni kama amewatenga wenzie!!
Kuna tatizo sana tukifika kwny final 3rd ya hawa jamaa, kuna ubinafsi sana pale, ila atleast team imeanza vizur kuliko iliyopita, tutawafunga vizur tu hawa!! [HASHTAG]#Vamos[/HASHTAG] Real!!
 
Varane's wrong timing to clear the ball gave Tana too much space to find the bottom corner. We have finally conceded an away goal in La Liga since 23rd April
Kukosekana umekani pale nyuma utaigharimu timu Leo maana tunawaruhusu sana wachezee mpira hawa las palmas,kocha awafokee wasifanye mzaha tutaweza aibishwa ,tuko nguvu sawa ila vijana wamepiga kazi,tunammiss sana casemiro pale kwny idara ya kiungo mkabaji ndo maana wanapenetrate mipira ming yenye madhara kwnda golini,tusubiri second half muhimu point 3 ndo kila kitu.
 
17 shots in the first half from Real. One Goal.

CtJKYkPW8AAlWG8.jpg:large
 
Bale Leo anazingua, nguvu za nin, kwanin asitumie tu akili kidogo, hii game ni tight sana kwa kwel.
 
Man hawa watu wana pace za hatari. Inafanya middle zetu zipumulie mashine man
 
Back
Top Bottom