Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Ngoja niangalia uwezekano wa kulegeza masharti LOL
unajua ki ukweli kuna vitu vingine unaniminyia/katazia mie nakacrka mpaka bac....hapo nikikuambia ishu kama hii ya safari loo cpati pic, najua huwezi kubali milele...kweli nakacrikaga bac tu cna cha kufanya.