JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
- Thread starter
- #21
.........yaaaah!na kikubwa kabisa kwangu ni kwamba I NEED YOU GUYS TO BE THERE FOR ME!hasa hasa kwa send-off najua wengi mtakuwepo wale wa dar!.....
iringa najua ni wachache wameconfirm kwenda
We will be there for you G.
Ila send off si kunakuwaga na limit pia ya watu wanaomsindikiza bwana harusi au???
ANGALIZO:
USILE TUNDA LA KATIKATI MPAKA SIKU YA NDOA KUANZIA LEO (unalipumzisha na upate kulimiss pia) NA KAMA HUJALIGUSA KABISA KABISA KABISA, NI VIZURI ZAIDI ila wewe sidhani kama utakuwa hujagusa mmmmh