Re:WIZI WA 60M LEO MCHANA BUGURUNI

Re:WIZI WA 60M LEO MCHANA BUGURUNI

Itv
wengine walambwa duka la comp vission ....

Wakokikazi zaidi
 
Haziuzwi wa la pkuingizwa tena Tz mkuu, nilienda kununua kwa maagent wa hapa wakaniambia kiwanda kimefungwa so hakuna tena, sikuamini km kweli kiwanda kimefungwa nafikuri Kuna kitu hawakutaka kysema ukweli

yaani jamaa kweli hawana mbinu za kupambana na uhalifu yaani ujuzi wao utakuwa ndyo umeishia hapo..kuzuia boxer syo solution kbsa
 
yaani jamaa kweli hawana mbinu za kupambana na uhalifu yaani ujuzi wao utakuwa ndyo umeishia hapo..kuzuia boxer syo solution kbsa

Ndo hivyo mkuu, uditegemee unaenda fulani ukanunue boxer, hazipo labda mtumba iliyopo barabarani
 
Ndo hivyo mkuu, uditegemee unaenda fulani ukanunue boxer, hazipo labda mtumba iliyopo barabarani

hahahah mkuu na wewe una mikasa ulitaka boxer..kweli boxer zimeuza sanaaaa mhindi noma....
 
Wewe golo...!!! kweli unatoa taarifa au unatafuta taarifa be care?
 
Blaza embu tuliza mchecheto, ujumbe tumeupata ila aina ya uandishi wako embu jaribu kuufanyia masahihisho kidogo

...dogo ingawa ujumbe umefika na wewe umeelewa ila onyesha basi makosa...
 
Hawa jamaa mbona kama wameongeza nguvu wiki hii??
 
Mtoa habari anataka habari kamili/tumjuze.Napa ni sawa na redio/mtangazaji/mwandsh kumwomba msikilizaji ampe habari kamili
 
Yeye amezileta taarifa kutokana na alivyozipata, hatuwezi jua pengine amehadithiwa, tufanye subra. Inawezekana akaja mkuu mwingine mwenye taarifa zaidi.

Jamani mbona ujambazi unashamiri sana badala ya kupungua?

Ina maana hakuna mikakati yoyote kudhibiti ujambazi?

Uchaguzi umekaribia mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom