Re:WIZI WA 60M LEO MCHANA BUGURUNI

Re:WIZI WA 60M LEO MCHANA BUGURUNI

Governor of Bettors-GB

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
10,734
Reaction score
9,913
Wakuu nimepata taarifa kwamba kuna jamaa wamepora milioni 60 kwenye duka la nondo hapo Buguruni karibu ya sheli.
Nasikia jamaa walikuja Boxer kisha kuwaonyesha Chuma jamaa na jamaa wakaachia pesa.
Ila utata ni kwamba walioibiwa ni wateja ambao walifika pale,sasa inaonekana hawa majambazi waliwafuatilia muda mrefu.Hizi ndio zile issue za kuchomana ndani kwa ndani.
Nasikiwa walikuwa na Boxer,na kufika dukani jamaa ile kutoa pesa wakawabana pale pale wakasepa,jamaa akajaribu kuwakimbia na Pikipiki ya kichina akashindwa kasi jamaa wakasepa.

Mwenye taarifa Kamili watujuze.
 
hahahaha duh ina maana pikipiki ya mhindi ni nomaa sanaa...ila kama jamaa wameporwa hela pole yao
 
Blaza embu tuliza mchecheto, ujumbe tumeupata ila aina ya uandishi wako embu jaribu kuufanyia masahihisho kidogo
 
Wewe ndo mwenye taarifa, halafu unaomba tena sisi tukujuze! Dodosa zaidi huko ulikopata hizo taarifa then tujulishe kwa umakini
 
Yeye amezileta taarifa kutokana na alivyozipata, hatuwezi jua pengine amehadithiwa, tufanye subra. Inawezekana akaja mkuu mwingine mwenye taarifa zaidi.

Jamani mbona ujambazi unashamiri sana badala ya kupungua?

Ina maana hakuna mikakati yoyote kudhibiti ujambazi?
 
ebu jamani tutulie taarifa huanz kama hadithi ila tu jamaa apunguze lugha ya kihuni
 
Tukitaka kufanya manunuzi tunafatiliwa,tukitoa/kuweka pesa tunafuatiliwa,tufanye nini wandugu!...IGP mpya full usingizi amelala...
 
Boxer zimepigwa marufuku kuingizwa nchini, nafikiri ni sababu ya haya matukio
 
Wakuu nimepata taarifa kwamba kuna jamaa wamepora milioni 60 kwenye duka la nondo hapo Buguruni karibu ya sheli.
Nasikia jamaa walikuja Boxer kisha kuwaonyesha Chuma jamaa na jamaa wakaachia pesa.
Ila utata ni kwamba walioibiwa ni wateja ambao walifika pale,sasa inaonekana hawa majambazi waliwafuatilia muda mrefu.Hizi ndio zile issue za kuchomana ndani kwa ndani.
Nasikiwa walikuwa na Boxer,na kufika dukani jamaa ile kutoa pesa wakawabana pale pale wakasepa,jamaa akajaribu kuwakimbia na Pikipiki ya kichina akashindwa kasi jamaa wakasepa.

Mwenye taarifa Kamili watujuze.
duu kama rambo shikamooni wajasiriamali..
 
Pole sana waliofkwa na tatzo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Haziuzwi wa la pkuingizwa tena Tz mkuu, nilienda kununua kwa maagent wa hapa wakaniambia kiwanda kimefungwa so hakuna tena, sikuamini km kweli kiwanda kimefungwa nafikuri Kuna kitu hawakutaka kysema ukweli
 
nivae miwani mara ngapi mkuu??
Au wewe huoni makosa katika huo uhandishi wake?

mkuu ni shiiidaa m nimeeelewa mkuu
subiri mkuu
matol aje kama anafanyaga tuition asaidie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom