Re: Mara 100

1. Mara mia ukiwa mwizi upigwe na wanajeshi kuliko kupigwa na wananchi.
2. Mara mia uishi Mbeya kwenye baridi kuliko Dar kwenye joto.
3. Mara mia upigwe na nondo kuliko kupata ajali mbaya ya boda boda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom