Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,331
- 24,215
Engineer Ribert Gabriel kwa sababuzisijojulikata, amejiita Local Fundi.
Huyo amajiita LOCAL FUNDI katika MRADI wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Geita
Eng. Robert Gabriel ambaye amewahi kuwa MKUU wa MIKOA ya GEITA, MWANZA na MARA ktk kipindi cha Awamu ya Tano chini ya JPM na Awamu ya Sita chini ya SSH.
Eng Robert Gabriel amefedhehesha fani ya uhandisi, na ninategemea Bodi y Usajili wa Wahandisi, ERB( Engineers Registration Board), iitishe usajili wake.
Huyo amajiita LOCAL FUNDI katika MRADI wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Geita
Eng. Robert Gabriel ambaye amewahi kuwa MKUU wa MIKOA ya GEITA, MWANZA na MARA ktk kipindi cha Awamu ya Tano chini ya JPM na Awamu ya Sita chini ya SSH.
Eng Robert Gabriel amefedhehesha fani ya uhandisi, na ninategemea Bodi y Usajili wa Wahandisi, ERB( Engineers Registration Board), iitishe usajili wake.