RC Mrisho Gambo: Serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza siasa kwenye majanga

Sasa hapa aloingiza siasa nani jamani ?naomba munieleze. Ni wa toa rambirambi au walio wakamata wa toa rambirambi rambirambi kwa kigezo cha siasa?
 
Wewe unadhani Mfuko wa Maafa upo Tanzania tu Mataifa mengine hawana. Kama wanao kwanini mataifa na taasisi nyingine huchangia?. Na unadhani tangu tujitawale maafa ni ajali hiyo tu hakuna maafa mengine yaliyotokea nchini na watu wakachangia kama yaliwahi kutokea utaratibu wa matumizi unatofauti gani na wa sasa? Kwa nini Watanzania hatuwatumii wabunge wetu kuhoji matumizi ya mfuko ila tunataka kuzalisha mivutano ya kiuchochezi inayozalishwa na hisi? Bajeti zetu zenyewe za hela ya karanga hiyo bajeti ya maafa ni shilingi ngapi itakayomudu matazamio ya maafa au mnadhani maafa ni ajali hiyo ya Arusha tu? Hata katika msiba wa kawaida, Umewahi kuona mtu anapewa rambi rambi za kufiwa na ndugu halafu anawekewa masharti hizo ni hela za watoto usitumie kugharamia msiba zika kwa hela yako?
Sasa ilikuwa lazima gambo apewe hela za rambirambi ya wamiliki wa shule binafsi wakati tayari amekwisha tangaza atazitumia kujenga wodi, na wenye rambirambi wanataka ziende kwa waathilika moja kwa moja. Na ulishaona serikali gani nyingine duniani inagombana na wananchi kisa rambirambi.
 
Methinks Gambo ndiye chimbuko la hizi siasa za majitaka kwenye msiba. Alichemka tangu mwanzo na sasa anajikaanga. Hata ujumbe wa Baraza la Wawakilishi ulikabidhi rambirambi zao mbele ya kamera za tv. Yale ya kuwanyima viongozi wenyeji kuzungumza ndiyo haya haya yanaendelea. The guy doesn't give up. Very pathetic.
 
Unafahamu kua serikali kuna kitu kinaitwa kamati ya maafa kwa ngazi ya wilaya mkoa na hata taifa??...kwa kukusaidia mwenyekiti wa kamati ya maafa kwa ngazi ya mkoa ni mkuu wa mkoa
Unamaanisha maafa gani? Kwenye maafa yenye michango ndiyo wanajitokeza kwenye maafa ya njaa kimya.
 
Safi sana gambo wao kila pahala wanataka siasa hata kwenye msiiba sijawah kuona wapuuz kama hawa
 
Subiri wafikishwe mahakamani kama hawana kosa itajulikana huko...hata uwe wapi ukikiuka taratibu utadakwa na kunyea ndoo...
Every human being has a right to disobey unjust rules! Wangekuwa na kesi wangeshapelekwa mahakamani, ila kwa sababu amri imetolewa na mtu mwenye kk, sishangai!
 
Every human being has a right to disobey unjust rules! Wangekuwa na kesi wangeshapelekwa mahakamani, ila kwa sababu amri imetolewa na mtu mwenye kk, sishangai!
Si wamepewa dhamana??
The Goverment has every right to intervene everything for the safety of the public.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Tumekwishaaaa, kumbe rambirambi siku hizi ni siasa? Hivi hii nchi tunaipeleka wapi jamani? kwa kete hizo CCM hamtaichukua Arusha ng'oooo kwa sababu mnachofanya ni kuwajaza wananchi hasira na kuichukia ccm na serikali yake yote. Time will tell.
 
Hawa tusione wanapata kibur hivi wanajiandaa kutawala hii inji milele
Soon serikali itaingilia michango itolewayo makanisani na misikitini nyie subirini tu. Utatakiwa uombe kibali cha kutoa michango serikalini
 
Bora kayasema tena.

Siasa uchwara za upinzani na wanaoichukia serikali wazidi kujifunza kuheshimu awamu hii au wakae kimya.
wakae kimya sababu hii nchi ya kwenu peke yenu
hata mkiwateka au kuwaua wotee watazaliwa wengine
 
nshafiwa na ndugu sana...sikuona wanasiasa...au wanaoleta siasa msibani...na wakifanya hivyo nitawafukuza
Kama ndugu zako waliokufa hawakua wanasiasa au hawakua na title yoyote ktk jamii, wanasiasa wangekujaje ktk misiba yao . . ?

Najua kwa kwa sababu wewe ni kubwa la wajinga, kama jina lako linavyosema, unaposema hutaki siasa misibani, una maanisha hutaki kuwaona CDM wakishughulika na misiba ya wapendwa wao.

Kwenu nyie chama cha majinga, wanasiasa ni CDM, CUF na viongozi wao . .
 
Back
Top Bottom