Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,096
- 3,478
Good job
Good job
Duh!Je,hilo ndilo lengo pia la aliyemtua, she should watch out!
Kutoka kwenye ajenda ya ufisadi had kwenye rambirambi za misiba,lema na lissu mmefanikiwa sana.inasikitisha sana.Muwe waangalifu asisogelee rambirambi maana wakiisha hamia ccm wanakula rambirambi
Kwanini una wasiwasi?Kazi nzuri, wasiwasi wangu je, atakubali kuwa remote?
Sasa wewe umeona nimerudisha kauli yangu! Alafu unaleta maneno mengine! Kwa kuwa nimejifunza kitu! Sasa na wewe je? Na ndiyo maana nikaweka Mola nihurumie! Yamakagashi vipi?Kuna uzi naliona umemjibu mdau mmoja aliyeshauri huyu mama aende msibani, ukaishia kusema "NO WAY " haya sasa kaenda una lingine la kusema?
Acha ukali, akiba ya maneno haioziSasa wewe umeona nimerudisha kauli yangu! Alafu unaleta maneno mengine! Kwa kuwa nimejifunza kitu! Sasa na wewe je? Na ndiyo maana nikaweka Mola nihurumie! Yamakagashi vipi?
Asijepewa rambirambi!
Sio ukali ndugu yangu ni kueleweshana tu jamani duh! Ni kweli akiba ya maneno haiozi!Acha ukali, akiba ya maneno haiozi
Hapo sasa!Duh!
Kweli human being is most complex living organism!
Sasa wewe ulitaka afanyeje....hasiende!!?
Kazi kweli kweli
Wala sio kukaririshwa, ni akili za kitoto au unaweza kuziita za kipuuzi.mmekaririshwa vibaya kweli
Badirika mkuu ushakuwa mtu mzima sasa.Muwe waangalifu asisogelee rambirambi maana wakiisha hamia ccm wanakula rambirambi
Sio ukali ndugu yangu ni kueleweshana tu jamani duh! Ni kweli akiba ya maneno haiozi!
Kwanini upinzani hasa viongozi wasijitofautishe na CCM kwa kuanza kuyakataa na kutembelea gari za kawaida ili CCM waone aibu.......kiongozi wa kambi rasimi ya upinzani bungeni aoneshe mfano tuone utofauti.....only tz!Siku mkija kujua hawa watawala wanatugawa ili waendelee kufaidi KEKI ya TAIFA ndipo mtajua ni kwa namna gani mlipotoka.
ISIS Umoja wetu kama TAIFA ndiyo nguvu yetu.Leo tunapiga makofi baada ya serikali kurudisha tena yale magari ya kifahari VX 8,tulipiga makofi 2015 waliposema wameyafuta hayatatumika tena.Na leo tunapiga makofi tena baada ya kuambiwa PRADO haziwafai watawala maana watakufa kwa ajali,hivi kabla ya VX 8 PRADO ngapi ziliua hata waziri??
Mkuu ni wakati tuache kutukanana turudi kuwa wamoja,umoja wetu maendeleo yetu.