kisana kiki
JF-Expert Member
- Dec 24, 2016
- 266
- 287
Yaani ukitafakari vizuri sana suala na muenendo wa huyu Bashite unaweza kujikuta unaelewa nchi yetu kuwa iko gizani.
Sent From Kisana Kiki Iphone
Sent From Kisana Kiki Iphone
Eeeh! baki na Utumwa wako wa Vyama hivyohivyo!Mbona hiyo fainali ya Ndondo wameigeuza kama shughuli ya CCM?
Nawaona kwenye jukwaa kuu akina Dr Tulia Jackson, Daudi Bashite, Ally Hapi na Meya Ben Sitta, wote hao wakiwa ni viongozi kwa upande wa CCM pekee!
Hao CCM wanavyopenda ubaguzi, inawezekana kabisa hiyo shughuli wamefanya kuihijack....
Msamehe tu mkuu hajui atendalo.Huyu kiumbe hafai kivyovyote hata wakimsamehe mimi sitakaa nimsamehe huyu kiumbe
Wewe ni nani? Unampa pumzi!?Huyu kiumbe hafai kivyovyote hata wakimsamehe mimi sitakaa nimsamehe huyu kiumbe
Zezeta kama wewe kumsemea kunakuongezea au kukufaidisha nini? Endelea kujikomba ukidhani ataweza kukusaidia kupata ajira!Boya kama wewe umsamehe unamuongezea au kumpunguzia nini!
Hivi mlikutana wapi mkakosana. U pu u zi kwenye level ya Juu.Huyu kiumbe hafai kivyovyote hata wakimsamehe mimi sitakaa nimsamehe huyu kiumbe
Hahahahahaha hili ni pigo kwa chademaTena kahojiwa na Clauds ...Inapendeza sana
Roho ilikua inamuuma sio bure hahahahahahaYaani Bashite kwa kupenda promo ya media?
Hii miezi michache aliyokuwa amepigwa "ban" na media ilimnyima raha sana...
Unawezaje kumfuta mpakwa mafuta wa BWANAAAAA??? Chungeni midomo yenu hiyooooo
Sasa huyo Bashite hata mashuti wala ufundi. ZeroKwenye penati ni ufundi sio mashuti tu.
hivi huyu jamaa wakati anahojiwa mwanza si alisema kamkomesha ruge? leo kuhojiwa ndio iwe pigo kwa chadema, maajabu hayaishiHahahahahaha hili ni pigo kwa chadema