Kwa sasa hivi bavicha mnamkubali nape na kumwita shujaa?Tuko wachache wakweli hata kwa gharama ya maisha yetu
Kitenge
Nnauye
Ruge
Lisu
Mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe ukija ukajutia kosa la kuitumikia ccm maiti tutakupokea
Ss hta usipo msamehe ww haumpunguzii wala haumuongezei chchote maana haujamuajiri ww na km unaishi Dar bdo ni boss wko tuHuyu kiumbe hafai kivyovyote hata wakimsamehe mimi sitakaa nimsamehe huyu kiumbe
Kubenea na Mbunge wa Kinondoni haukuwaona??Mbona hiyo fainali ya Ndondo wameigeuza kama shughuli ya CCM?
Nawaona kwenye jukwaa kuu akina Dr Tulia Jackson, Daudi Bashite, Ally Hapi na Meya Ben Sitta, wote hao wakiwa ni viongozi kwa upande wa CCM pekee!
Hao CCM wanavyopenda ubaguzi, inawezekana kabisa hiyo shughuli wamefanya kuihijack....
Chadema, NCCR walizuiwa kuhudhuria?Mbona hiyo fainali ya Ndondo wameigeuza kama shughuli ya CCM?
Nawaona kwenye jukwaa kuu akina Dr Tulia Jackson, Daudi Bashite, Ally Hapi na Meya Ben Sitta, wote hao wakiwa ni viongozi kwa upande wa CCM pekee!
Hao CCM wanavyopenda ubaguzi, inawezekana kabisa hiyo shughuli wamefanya kuihijack....
Na mimi !Tuko wachache wakweli hata kwa gharama ya maisha yetu
Kitenge
Nnauye
Ruge
Lisu
Mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Namsikiaga,alikosaga penalt kati ya Brazil na Italy,hope shoot lake halikuwa dhaifu kama la Makonda.Ngoja nikacheki youtube kama video ya jinsi alivyokosa penalt ipo.Unamjua Roberto Baggio?
Hii kawaida sana hata wachezaji wakubwa huwa wanakosa mkuu...
Na Baasha wake alikuwepo aliyekula marindaHii ni ishara njema sana katika kuondokana na lile bifu.Naamini yaliyopita si ndwele tugange yaliyopo na yajayo.
Vijana mkishirikiana mnaweza kuleta mabadiliko makubwa sana Dar na kitaifa.
Ubora wa shoot ni kuingia...tu.kama halikuingia litakosa hadhi ya kuwa shoot bora.Namsikiaga,alikosaga penalt kati ya Brazil na Italy,hope shoot lake halikuwa dhaifu kama la Makonda.Ngoja nikacheki youtube kama video ya jinsi alivyokosa penalt ipo.
NyokaHuyu kiumbe hafai kivyovyote hata wakimsamehe mimi sitakaa nimsamehe huyu kiumbe
Makonda sio kukosa tu,jamani kashoot hakana stamina kabisa.Hata mwanangu anapiga mashoot yenye nguvu.Ubora wa shoot ni kuingia...tu.kama halikuingia litakosa hadhi ya kuwa shoot bora.
Kama Baggio alikosa sio ajabu kwa Makonda kukosa.
Kama unabisha mtengee uone kama atakosea tena!