Nasikia tarehe 25 November kwenye kilele cha fiesta bashite ameendaa tamasha kubwa la wanafunzi wa Chuo usiku kwa kushirikiana na EFM tarehe hiyo hiyo.
Nasikia tarehe 25 November kwenye kilele cha fiesta bashite ameendaa tamasha kubwa la wanafunzi wa Chuo usiku kwa kushirikiana na EFM tarehe hiyo hiyo.
Hivi bandugu, humu jf tumeingiwa na jini gani anayetupandisha mori wa kisirani kushindwa kustahimiliana na kuvumiliana hadi kupelekea tuhusudu sana lugha za matusi?
Jf ya zamani mbona mambo haya hayakuwepo? Khaa!
Nasikia tarehe 25 November kwenye kilele cha fiesta bashite ameendaa tamasha kubwa la wanafunzi wa Chuo usiku kwa kushirikiana na EFM tarehe hiyo hiyo.