johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amesema leo usiku wa saa 6:00 katika uwanja wa taifa zitarushwa fataki kama ishara ya kuanza sherehe za uhuru.
Wananchi msiogope bali mshangilie na kurukaruka kwa furaha, amesema.
Chanzo: ITV habari
Wananchi msiogope bali mshangilie na kurukaruka kwa furaha, amesema.
Chanzo: ITV habari