RC Makalla: Kuanzia usiku wa leo hakuna Panya Road atasalimika, operesheni inayoanza si salama kwao

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,403
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema "Kuanzia leo, baada ya tamko langu leo, usiku wa leo na kuendelea hakuna 'Panya Road' atasalimika katika mkoa wa Dar, oparesheni inayoanza usiku wa leo si salama kwa 'Panya Road', oparesheni inayoanza leo inaenda kuua uti wa mgongo wa mtandao mzima wa 'Panya Road"

Ameongeza "Niwasihi wazazi kwamba operesheni hii haitowaacha watoto wao wahalifu, kama mzazi ulizoea kupata zawadi kwa mtoto, TV bila kujua kipato chake, akudanganye 'amebeti', kawatafuteni watoto wenu kwenye vituo vya Polisi kuanzia kesho"

Amesisitiza "Kila Wilaya kwa mikoa ya Kipolisi, kutoa taarifa za kila siku za Operesheni ondoa 'Panya Road' na kudhibiti uhalifu katika mkoa wa Dar es Salaam kila siku, toeni taarifa tusipotoa taarifa watazitoa taarifa mbaya"

Ameyasema hayo siku moja baada ya kundi hilo la uvamizi kuvamia na kujeruhi watu 19 katika Maenel ya Mtongani, Kunduchi mkoani humo
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema "Kuanzia leo, baada ya tamko langu leo, usiku wa leo na kuendelea hakuna 'Panya Road' atasalimika katika mkoa wa Dar, oparesheni inayoanza usiku wa leo si salama kwa 'Panya Road', oparesheni inayoanza leo inaenda kuua uti wa mgongo wa mtandao mzima wa 'Panya Road"

Ameongeza "Niwasihi wazazi kwamba operesheni hii haitowaacha watoto wao wahalifu, kama mzazi ulizoea kupata zawadi kwa mtoto, TV bila kujua kipato chake, akudanganye 'amebeti', kawatafuteni watoto wenu kwenye vituo vya Polisi kuanzia kesho"

Ameyasema hayo siku moja baada ya kundi hilo la uvamizi kuvamia na kujeruhi watu 19 katika Maenel ya Mtongani, Kunduchi mkoani humo
Kumbe tuna watu makini sana Tanzania.

RC ondoa vibaka wote Dar, kwa njia zozote. Ndio kazu yako. Mbadala ni unalifunga jiji. Watu watakuwa na hofu kufanya shughuli zao za kawaida.

Usalama wa Raia, maisha ni namba moja Bila usalama wao hakuna shughuli yoyote itakayoendelea au kuwezekana.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema "Kuanzia leo, baada ya tamko langu leo, usiku wa leo na kuendelea hakuna 'Panya Road' atasalimika katika mkoa wa Dar, oparesheni inayoanza usiku wa leo si salama kwa 'Panya Road', oparesheni inayoanza leo inaenda kuua uti wa mgongo wa mtandao mzima wa 'Panya Road"

Ameongeza "Niwasihi wazazi kwamba operesheni hii haitowaacha watoto wao wahalifu, kama mzazi ulizoea kupata zawadi kwa mtoto, TV bila kujua kipato chake, akudanganye 'amebeti', kawatafuteni watoto wenu kwenye vituo vya Polisi kuanzia kesho"

Ameyasema hayo siku moja baada ya kundi hilo la uvamizi kuvamia na kujeruhi watu 19 katika Maenel ya Mtongani, Kunduchi mkoani humo
L
Hili kundi ni hatari sana
 
Hii kauli inatia shaka sn..

Katika nchi za kiafrika,ukisikia kiongozi ameongea kauli km hii, kinachofuata hapo ni mateso Kwa wanaohusika na wasiohusika..nguvu unayotumika inakuwa nyingi sn alafu akili kisoda

Wengi waneuawa Kwa staili hii Kwa kisingizio cha neno "tunafanya operation maalum"

Hapa mzazi km Una mtoto wako wa kiume kuanzia 8-21 years,wiki hii mkataze mitoko ya jioni hasa mambo ya mipira ya 'chandimu'..polisi wanasomba wote wanakuwa ktk vikundi vikundi,mtajieleza mkifika kituoni

Naongea Kwa experience kubwa Kwa sababu nimekulia uswahili Temeke,tandika,Sheraton,maputo,relini,buza na viunga vyake..Enzi za Yule Askari mbabe wa kuitwa Tyson,jamaa anawakamata,kisha anawatembeza Kwa miguu na Pingu hawafungi alafu anauliza ambae anajiona ana ubavu wa kupigana na Mimi ajitokeze,akinishinda namruhusu asepe..sijui Yuko wapi Yule jamaa siku hizi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema "Kuanzia leo, baada ya tamko langu leo, usiku wa leo na kuendelea hakuna 'Panya Road' atasalimika katika mkoa wa Dar, oparesheni inayoanza usiku wa leo si salama kwa 'Panya Road', oparesheni inayoanza leo inaenda kuua uti wa mgongo wa mtandao mzima wa 'Panya Road"

Ameongeza "Niwasihi wazazi kwamba operesheni hii haitowaacha watoto wao wahalifu, kama mzazi ulizoea kupata zawadi kwa mtoto, TV bila kujua kipato chake, akudanganye 'amebeti', kawatafuteni watoto wenu kwenye vituo vya Polisi kuanzia kesho"

Ameyasema hayo siku moja baada ya kundi hilo la uvamizi kuvamia na kujeruhi watu 19 katika Maenel ya Mtongani, Kunduchi mkoani humo

Nimependa zaidi aliposema hao vijana wanatumia mapanga kwa hiyo tutatumia silaha zaidi ya panga kuwapora mapanga!

Dawa ya moto ni moto hawa ni majambazi ukiwarembulua macho hawawezi kukuelewa....dawa ya moto ni moto majambazi ni kupigwa risasi tuu halafu tuwasubiri watu wa haki za binadamu.......
Hapa ni kuwapiga chuma tuu lazima walazwe chini ndio wataacha!
 
download (4).jpg


Yaani mbinu nzuri ingekuwa ile ya kipindi cha Augustino, mzazi au ndugu unapewa taarifa kachukue maiti sehemu fulani au mochuari.

Hiyo ya nenda kituo cha polisi imekaa kama ina upendo fulani hivi!.

 
Hii kauli inatia shaka sn..

Katika nchi za kiafrika,ukisikia kiongozi ameongea kauli km hii, kinachofuata hapo ni mateso Kwa wanaohusika na wasiohusika..nguvu unayotumika inakuwa nyingi sn alafu akili kisoda

Wengi waneuawa Kwa staili hii Kwa kisingizio cha neno "tunafanya operation maalum"

Hapa mzazi km Una mtoto wako wa kiume kuanzia 8-21 years,wiki hii mkataze mitoko ya jioni hasa mambo ya mipira ya 'chandimu'..polisi wanasomba wote wanakuwa ktk vikundi vikundi,mtajieleza mkifika kituoni
Ni kauli sahihi kabisa. Watu wachache wasimimamishe maisha ya wengi. Wadhibitiwe na kuondolewa mtaaani.
 
Kumbe tuna watu makini sana Tanzania.

RC ondoa vibaka wote Dar, kwa njia zozote. Ndio kazu yako. Mbadala ni unalifunga jiji. Watu watakuwa na hofu kufanya shughuli zao za kawaida.

Usalama wa Raia, maisha ni namba moja Bila usalama wao hakuna shughuli yoyote itakayoendelea au kuwezekana.
Mkuu wa mkoa umetumia lugha ya busara ila najuwa ujumbe wako kama Raisi alivyosema jana mnahatarisha maisha ya watoto zenu. Hawa mkiwa na uhakika ni wao naomba pigeni risasi mbwa hawa na wacha wapige kelele lakini mna support kwa watu wastaarabu mambo ya kizamani hapa hayana nafasi wafundishe adabu you have full support. Mimi simuonei huruma kibaka hawa ni wauwaji wanaweza kuuwa mtu kwa simu tu ni wakati kuunga mkono mkuu wa mkoa na serikali fanyeni kazi kuwaondoa hawa katika ramani ya dunia hii, na akitokea mzazi kujiliza mchapeni bakora zake washenzi hawa.
 
Back
Top Bottom